Horseshoe Arch
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 13,402
- 12,787
Ahaaa...basi wewe si serious 'Mereja'!Nadhani huolewi sababu ya majibu kama haya
Mwanamme gani ataendelea kuongea na kasichana anayejibu hivi wanaume?
Ahaaa...basi wewe si serious 'Mereja'!Nadhani huolewi sababu ya majibu kama haya
Mwanamme gani ataendelea kuongea na kasichana anayejibu hivi wanaume?
Haya banaAhaaa...basi wewe si serious 'Mereja'!
Kwani mwisho wa kuolewa ni miaka mingapi?Haya bana
Lkn mile zikivuta na NDOA hamna utanikumbuka
Ukifika kwenye menopouse yakoKwani mwisho wa kuolewa ni miaka mingapi?
Uliwahi kumuuliza mama yako swali kama hili?Ukifika kwenye menopouse yako
Damu zako za mwisho wa mwezi zikikata
Nani atataka kuoa kikongwe ambaye hata damu za mwezi hazipo tena?
Nani ataoa demu ambaye hawezi kuingia kwenye heat sababu libido imekata?
Hujui kama ukiwa karibu unaingia kwenye siku zako ndiyo hamu inaongezeka sana?
Piga mahesabu,kwa Afrika damu zinakata miaka 35-40
Wewe una mingapi?
Mama yangu alinizaa mm akiwa na miaka 26Uliwahi kumuuliza mama yako swali kama hili?
Nina miaka 57 na bado haijaanza! Beside kama kuolewa ni juu ya ngono tu nenda mnadani ukanunue mbuzi umuoe!Mama yangu alinizaa mm akiwa na miaka 26
Aliolewa akiwa na miaka 25
100% alikuwa bado sana kukata menopouse
Wewe inakaribia kukata,umri umeenda
Changamka kabla hijakata kabisa
Lengo kubwa la kuoana ni kuendeleza offspring, yaani kuendeleza uzaoNina miaka 57 na bado haijaanza! Beside kama kuolewa ni juu ya ngono tu nenda mnadani ukanunue mbuzi umuoe!
Dada zako nao si ni wanawake? kwanini uende mbali wakati umekaa karibu na viwanda? Zaeni muijaze familia,kitongoji,tarafa,wilaya,mkoa na hatimaye taifa na dunia!Lengo kubwa la kuoana ni kuendeleza offspring, yaani kuendeleza uzao
Kama huzai basi unapunguza sana chance ya kuoa/kuolewa
Lkn unaweza pata jibaba lenye watoto nje wewe akufanye mke mlea watoto
Pole anyway
Ni kosa la JINAI kuzaa au hata kufanya mapenzi na UMBU lako!Dada zako nao si ni wanawake? kwanini uende mbali wakati umekaa karibu na viwanda? Zaeni muijaze familia,kitongoji,tarafa,wilaya,mkoa na hatimaye taifa na dunia!