Wadau wa JF,
Naomba kujua changamoto za kuanzisha biashara ya kuuza na kununua asali hususan masoko ya ndani na nje ya nchi-vile vile namna ya kupata mikopo ya muzinga ya asali.
Sent using Jamii Forums mobile app
jamani mwanangu kachaguliwa saut mwanza kozi ya sheria lkn amefika huko wamemsajili kwa kozi ambayo hata akuomba TCU naombeni ushauri tufanyeje arudishiwe kozi yake ya sheria?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.