Uvujaji wa taarifa nyeti: Je, TISS kuna tatizo?

Sio kwamba kwenye utawala wa BM na JK siri za serikali na viongozi wake zilikuwa hazivuji zilivuja ila sasa imekuwa too much.

Alianza Mange kuvujisha mambo very sensitive na alileta taaruki kweli na baadhi ya mambo ulikuwa ukitizama unaona kabisa yanatoka ndani jikoni.

Sasa hivi Kigogo kuna muda anazusha sawa ila kuna muda anaongea ukweli 100%.

Tujiulize nani anampa taarifa? je kama yupo ndani hakuna tatizo? hata kama hayupo ndani je waliopo kama hawana umoja hakuna tatizo? TISS kuna tatizo lazima tukubali kwanza!

Je ni kutokana na "TISS field officer" wakienda na kuleta taarifa hazifanyiwi kazi kulingana na matakwa ya mtu mmoja? Wakipuuzwa wanauza taarifa za usalama?

Pls Diwani rekebisha mambo ingawa its to late! Kwako kuja kutolewa kama Kapilimba kuna viashiria vyote vinaonyesha Idara imegawanyika sana kuliko kipindi chochote toka tupate uhuru.
Unapoongelea suala la usalama ni eneo pana sana kiuteñdaji na wamwgawanyika kutokana na majukumu yao ingawa conclusion hua ni usalama kwa sehemu husika. Hua kuna nadharia kadhaa kulingana na Huyu anayeitwa KIGOGO HUKO TWITTER, Kuna uwezekano akawa mtu wa ijnr ya mfumo wa TISS ila akawa mtu wao kwa maana anapewa nyenzo zote na wao kwa nia ya kubughuzi na kutia wenge wale waliodhani system iko weak ktk weledi wa kazi husika, hii ina maana hata wale wa ndani kuna wasaliti na ndo wanaotafutwa zaid. Pia kuna uwezekqno kweli huyu jamaa anajua mifumo yao ilivyi weak na namna gani ya kucheza nao ndo maana hata waziri amesema wanakaribia kumnasa ila utabaki pale pale kwqmba ni mtu wao na pia kunà iwezekani anachosema ndo wanachotaka tukijue kati ya siri walizonazo. Umakini muhimu sanakati ya hizi taarifa tunazopata.
 
uchumi bora pia unapatikana kwa kuwa na miundo mbinu bora ili kurahisisha bidhaa au mazao kufika sokoni haraka na kwa wakati ili muuzaji auze na kurudi shamba kuendelea na shughuli nchi zote zenye uchumi bora zina miundo mbinu bora pia, kuhusu umasikini wa kipato huisha kwa kufanya kazi tu ni serikali chache duniani zinazotoa hela bure kwa watu wake bila kufanya kazi, nakushauri achana na kuzungusha mikono chapa kazi.
Sometimes huwa nawalable watu wa aina yako kwa kuwapa majina ambayo huakisi uwezo wao wa kufikiri na kuchanganua hoja! Na Leo nakubatiza kwa jina la bumunda. Ni mkulima yupi uanyemzungumzia hapa? Huyu wa Tanzania anayetumia jembe la mkono Hadi Sasa? Au huyu ambaye hapati pembejeo na ushauri wa kitaalamu na akibahatika kupata ni katikati ya msimu? Na au huyu ambaye Hana solo la uhakika la mazao yake? Au yule anayekopwa mazao yake? Ni yupi katika hao? Wakulima wa korosho, pamba, nyanya na hata mshindi? Ni yupi hasa?
Usiwe unabweka tu huku ukiwa umekalia Kochi la shemejio, njoo shambani uyaone masaibu ya mkulima!
Na hizo Barabara ni zipo zinazojengwa tangu nchi ipate Uhuru na haziishi? Nenda kigoma, sumbawanga,mbeya, songea na hata hapo pwani uzione Barabara zinazoingia vijijini na hata wilayani Kama hujalia! Next time try to think vividly and rationally! Usiwaze kubweka Tena humu kwani huna hoja!
 
Tena kubwa sana kati ya WAKOROMIJE waliosukumiwa ndani ya TISS pamoja na kuwa hawana sifa na wale ambao walikuwepo tayari na wana sifa husika.

Wakoromije wanataka kutake over KIBABE na wakati mwingi kudharau taratibu za kiutendaji.

Huu mpasuko wa ndani ya TISS uendelee tu ili nyeti zenye uzito ziendelee kuvujishwa.
Mara zote zinavuja zile nyepes lkn zile nzito hazivujagi na km zikitaka kuvuja lazima roho iache mwili.
 
Sometimes huwa nawalable watu wa aina yako kwa kuwapa majina ambayo huakisi uwezo wao wa kufikiri na kuchanganua hoja! Na Leo nakubatiza kwa jina la bumunda. Ni mkulima yupi uanyemzungumzia hapa? Huyu wa Tanzania anayetumia jembe la mkono Hadi Sasa? Au huyu ambaye hapati pembejeo na ushauri wa kitaalamu na akibahatika kupata ni katikati ya msimu? Na au huyu ambaye Hana solo la uhakika la mazao yake? Au yule anayekopwa mazao yake? Ni yupi katika hao? Wakulima wa korosho, pamba, nyanya na hata mshindi? Ni yupi hasa?
Usiwe unabweka tu huku ukiwa umekalia Kochi la shemejio, njoo shambani uyaone masaibu ya mkulima!
Na hizo Barabara ni zipo zinazojengwa tangu nchi ipate Uhuru na haziishi? Nenda kigoma, sumbawanga,mbeya, songea na hata hapo pwani uzione Barabara zinazoingia vijijini na hata wilayani Kama hujalia! Next time try to think vividly and rationally! Usiwaze kubweka Tena humu kwani huna hoja!
Mimi pia baada ya kusoma nilitamani nikupe jina lakini sina kipaji kama chako ila nakuomba jina utajipatia mwenyewe, jambo moja nililogundua kwako hufikiri kwa akili yako nadhani utakuwa unapiga nyugu ya bangi, hakuna serikali inayowezakumaliza changamoto zote kwa wakati mmoja ndio maana tangu tumepata uhuru huyu ni rais wa tano lakini bado kuna shida na zinatatuliwa kwa awamu, hata nchi zilizoendelea kama amerika wanashida zao pia pamoja na kupata uhuru miaka mingi na kuongozwa na marais zaid ya arobaini sasa, jambo la msingi ni kuona dhamira ya kweli ya kiongozi katika kutatua shida na changamoto zilizopo na zinazojitokeza. kapige tena nyungu ya bangi halafu uje uandike.
 
Ndugu yetu Kigogo,

Tumempeleka kule ambapo watu wakienda hawarudi tena.

Kazi nzuri imefanywa na vijana wetu adhimu.
 
Huyu jamaa inawezekana anacheza na akili za watu tu!
Na siyo ajabu ikawa ni mbinu ya hao tiss kuwatafuta wale wanaompinga meko kwa kumtumia huyo mshikaji!
Ipo siku atawageuka wote wanaomshadadia, then ataishia kutukanwa!
Kuna wakati anageuza upepo na kuwafumua akina zitto, mbowe n.k! Hivyo inawezekana yupo kimkakati, na tunavyoaminishwa anatafutwa, ni moja wapo ya mbinu za kutekeleza mkakati mzima!
Huyo ni system kabisa huenda!


Sent from my iPhone using JamiiForums
......hongera kwako..,..kichwa yako inafanya kazi..
 
Sio kwamba kwenye utawala wa BM na JK siri za serikali na viongozi wake zilikuwa hazivuji zilivuja ila sasa imekuwa too much.

Alianza Mange kuvujisha mambo very sensitive na alileta taaruki kweli na baadhi ya mambo ulikuwa ukitizama unaona kabisa yanatoka ndani jikoni.

Sasa hivi Kigogo kuna muda anazusha sawa ila kuna muda anaongea ukweli 100%.

Tujiulize nani anampa taarifa? je kama yupo ndani hakuna tatizo? hata kama hayupo ndani je waliopo kama hawana umoja hakuna tatizo? TISS kuna tatizo lazima tukubali kwanza!

Je ni kutokana na "TISS field officer" wakienda na kuleta taarifa hazifanyiwi kazi kulingana na matakwa ya mtu mmoja? Wakipuuzwa wanauza taarifa za usalama?

Pls Diwani rekebisha mambo ingawa its to late! Kwako kuja kutolewa kama Kapilimba kuna viashiria vyote vinaonyesha Idara imegawanyika sana kuliko kipindi chochote toka tupate uhuru.
Unaweza kuta TISS wamedesgn an imaginary weasel blower kwa dudisgn ka sub unit kadogo wakakapa ac TWITTER ili wawe wanamstopisha mzee baba kwenye vitu au matukio ambayo hawakubariani nayo.
 
Nimeona Bwana yule mlipua mabomu kule twitter ame-post nyaraka za ununuzi wa zile Pangaboi jambo linalooashiria kuwa ndani ya system huenda kuna kuhujumiana na hii ikimanisha kuwa hawa watu hawako pamoja au inawezeka kuna mtu wamemchoka na sasa wanaamua kuanika kila kitu hadharani.

Kama ni kuchukua tahadhari,huenda mpaka sasa ameshachelewa na siri nyingi teyari ziko mikononi mwa watu na sitoshangaa kadri uchaguzi unavyokaribia, yakaibuliwa mengine mengi huku nyaraka husika nazo zikiwekwa wazi mitandaoni.

No wonder wanajitengeneza kinga mbele ya Mapilato ingawa inawezekana teyari wameshachelewa.
 
Mnashinda mnazinanga na wakubwa zenu wanashinda wanapanda
Nimeona Bwana yule mlipua mabomu kule twitter ame-post nyaraka za ununuzi wa zile Pangaboi jambo linalooashiria kuwa ndani ya system huenda kuna kuhujumiana na hii ikimanisha kuwa hawa watu hawako pamoja au inawezeka kuna mtu wamemchoka na sasa wanaamua kuanika kila kitu hadharani.

Kama ni kuchukua tahadhari,huenda mpaka sasa ameshachelewa na siri nyingi teyari ziko mikononi mwa watu na sitoshangaa kadri uchaguzi unavyokaribia, yakaibuliwa mengine mengi huku nyaraka husika nazo zikiwekwa wazi mitandaoni.

No wonder wanajitengeneza kinga mbele ya Mapilato ingawa inawezekana teyari wameshachelewa.
 
Nimeona Bwana yule mlipua mabomu kule twitter ame-post nyaraka za ununuzi wa zile Pangaboi jambo linalooashiria kuwa ndani ya system huenda kuna kuhujumiana na hii ikimanisha kuwa hawa watu hawako pamoja au inawezeka kuna mtu wamemchoka na sasa wanaamua kuanika kila kitu hadharani.

Kama ni kuchukua tahadhari,huenda mpaka sasa ameshachelewa na siri nyingi teyari ziko mikononi mwa watu na sitoshangaa kadri uchaguzi unavyokaribia, yakaibuliwa mengine mengi huku nyaraka husika nazo zikiwekwa wazi mitandaoni.

No wonder wanajitengeneza kinga mbele ya Mapilato ingawa inawezekana teyari wameshachelewa.
Una maanisha nini unaposema kuna jamaa kule twitter?
 
Back
Top Bottom