Ukiwa na Milioni 10 kijijini mfano Kahama, Nzega, Igunga na Geita fanya biashara ifuatayo ukimtegemea Mungu

Hamisi Mhoja

Member
Nov 22, 2019
22
23
Biashara ya mazao mfano Mpunga,Nunua Mpunga gunia 180@52000/=Yaani kijijini katika kipindi cha mavuno mwezi wa sita mpaka wa saba bei huwa haizidi 50000 kwa hiyo 52000 namaanisha na usafiri hata mifuko.

Jumla ya gunia hizo ni Tsh. 9360000/=Lakini uwe na Shughuli nyingine ya kukupatia Pesa za matumizi madogomadogo mfano sabuni na pesa za matibabu n.k.Kaa miezi sita au saba tafuta soko uza kwa Tsh. 75000/=tu au ikiwa zaidi Hapo utapata Tsh.

13 500 000/=Hapo utakua umepata faida ya Tsh. 4 100 000/=kwahiyo kwa mwezi utakua umeingiza zaidi ya 600 000/= ambayo hii itakua bila mawazo kama biashara zingine Japo hata biashara zingine na zenyewe zina faida.

Huu ni ushauri wangu Kikubwa Kuomba Mungu akapisha matatizo katika familia na ndugu.Mwenye kuongezea mawazo na ushauri naruhusu. Asante

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Endapo kama una mtaji mzuri sehemu ya kukusanya mazao ni rukwa hususani wilaya ya Tanganyika kule.
Kusanya mahindi tan zako ishilini baada ya miezi mitano unauza unakuja kutamba mjini

GOD is GOOD
 
Biashara ya mazao mfano Mpunga,Nunua Mpunga gunia 180@52000/=Yaani kijijini katika kipindi cha mavuno mwezi wa sita mpaka wa saba bei huwa haizidi 50000 kwa hiyo 52000 namaanisha na usafiri hata mifuko.Jumla ya gunia hizo ni Tsh. 9360000/=Lakini uwe na Shughuli nyingine ya kukupatia Pesa za matumizi madogomadogo mfano sabuni na pesa za matibabu n.k.Kaa miezi sita au saba tafuta soko uza kwa Tsh. 75000/=tu au ikiwa zaidi Hapo utapata Tsh. 13 500 000/=Hapo utakua umepata faida ya Tsh. 4 100 000/=kwahiyo kwa mwezi utakua umeingiza zaidi ya 600 000/= ambayo hii itakua bila mawazo kama biashara zingine Japo hata biashara zingine na zenyewe zina faida.Huu ni ushauri wangu Kikubwa Kuomba Mungu akapisha matatizo katika familia na ndugu.Mwenye kuongezea mawazo na ushauri naruhusu. Asante

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa mpanda msimu wa mavuno gunia la mpunga huwa ni 30,000!!!
 
Back
Top Bottom