mkuu kufall kwa hawara daah haya mapenzi ya kisasa shida tupu ,mtoa mada hawa viumbe wetu ni wakuishi nao kwa umakini sana , mkuu coz hawaeleweki kama kabisa, ukiwa na moyo mwepesi wanaweza kuharibu maisha ukaishia jela, sasa hivi usimuulize coz kipindi hichi anaweza akakejeli , kwa...