Blood Hurricane
JF-Expert Member
- Jun 21, 2012
- 1,175
- 305
Ati nini?
Yaah tatizo ni Capital na hii band bado ni changa! Ninachopenda ni uchaguzi wao mzuri wa wahusika wa kwenye video zao ni watu wenye rika kama lao!ya moto band. tatizo lao hawa vijana hawatengenezewi video kali.. hizi nyimbo zao zinapendwa sana sehemu za congo na mombasa.. wakitengenezewa best quality ya video bas watarushwa sana na tv za central africa hata west pia..
Mkubwa fela ndio huyo huyo kitorondo anafanya diversity tu ya masoko.
Kitorondo ni BABUTALE sio Fela
Yamoto,yamoto band ,yamoto ,yamoto band!...........Mkubwa na wanae....... Hawa watoto wanaimba hadi raha!
Madogo wanajua,ila kwa usimamizi wa Fella ,hawatapiga hatua..
Sure mkuu.Madogo wanajua,ila kwa usimamizi wa Fella ,hawatapiga hatua..