Aisee mimi nipo hapa bar nakata hizi serengeti ndogo, huku nasubiria mwaka mpya ufike hivi bado tu haujafika? maana hata sijui hii chupa ya ngapi halafu nahisi kama nime paralaizi miguu:(
Wala hata sio kazi katafute mzinga wa nyuki ama kichuguu cha manyigu wewe ingiza kichwa chako humo kwa nguvu halafu ufanye kama unachokonoa chokonoa kuwakera hao viumbe.
Watakung'ata, ukisikia maumivu usilie wala usijute ndio gharama ya urembo, baada ya hapo utajaa vidoti uso mzima...
Mnazingua, Sasa hii ni habari jamani ? Halafu tukisema amenunua chama tutakuwa tumekosea ? Leo kuna asilimia za kutosha tu hata Mbowe, Myika, Lissu wameenda matembezi ya jioni mbona hamjawaandika na kutuonesha picha ?
Nilikuwa nazunguka katika harakati za kufukua makaburi, nimeona kumbe hakuanza leo kudharau mihimili mingine, alikuwa anajitungia kanuni bila ushauri wa wengine, alikuwa anapuuza sheria na maamuzi ya mahakama kuna sehemu amefananishwa na NDULI kuna sehemu wamesema yeye ni mtaalamu wa Kemikali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.