Recent content by Otunba

  1. Otunba

    Manji na Gwajima wamelala mahabusu ipi?

    Halafu naona huyu bi dada anafanania na Zari sijui ni ndugu
  2. Otunba

    Rais Magufuli awataka wapenzi na wanaCCM kushikamana na kuisimamia serikali.

    Hapo kwenye kuisimamia serekale, tuwaachie wajisimamie wenyewe, ukiwakosoa hawachelewi kukudaka kwa uchochezi na kwenda kukubinya mapumbu bila ganzi
  3. Otunba

    Jinsi kampuni za bia zilivyobadili gia angani

    Aisee mimi nipo hapa bar nakata hizi serengeti ndogo, huku nasubiria mwaka mpya ufike hivi bado tu haujafika? maana hata sijui hii chupa ya ngapi halafu nahisi kama nime paralaizi miguu:(
  4. Otunba

    Nitapataje kidoti kama cha Jokate?

    Wala hata sio kazi katafute mzinga wa nyuki ama kichuguu cha manyigu wewe ingiza kichwa chako humo kwa nguvu halafu ufanye kama unachokonoa chokonoa kuwakera hao viumbe. Watakung'ata, ukisikia maumivu usilie wala usijute ndio gharama ya urembo, baada ya hapo utajaa vidoti uso mzima...
  5. Otunba

    PICHA: Edward Lowassa akiwa na wajukuu zake katika matembezi ya jioni

    Mnazingua, Sasa hii ni habari jamani ? Halafu tukisema amenunua chama tutakuwa tumekosea ? Leo kuna asilimia za kutosha tu hata Mbowe, Myika, Lissu wameenda matembezi ya jioni mbona hamjawaandika na kutuonesha picha ?
  6. Otunba

    Mwenyekiti wa UVCCM aliyeshitakiwa kwa kughushi kitambulisho cha Usalama wa Taifa aachiwa huru

    Haya bana Mungu anawaona angekuwa kada wa upinzani mgemng'oa pumbu kwa kwanja.
  7. Otunba

    Barua ya Lema kutoka Gerezani Arusha

    Hizi za chini ya kapeti nasikia kwenye maono ya Lema alianza kuondoka Faru John halafu ndio akafuatia Rahisi John.....
  8. Otunba

    Natafuta kazi ila nataka mwanamke, nitampa mahaba, masaji na kumfikisha kileleni

    Unataka kazi ? karibu pwani, kuna kupara samaki na kuparamiwa, Chochote unachotaka utanunuliwa, Shida zako za nyuma yakhe utatatuliwa
  9. Otunba

    Hakuanza leo kutoheshimu mihimili mingine

    Nilikuwa nazunguka katika harakati za kufukua makaburi, nimeona kumbe hakuanza leo kudharau mihimili mingine, alikuwa anajitungia kanuni bila ushauri wa wengine, alikuwa anapuuza sheria na maamuzi ya mahakama kuna sehemu amefananishwa na NDULI kuna sehemu wamesema yeye ni mtaalamu wa Kemikali...
  10. Otunba

    Sijui nitakua nimechochea

Back
Top Bottom