Hakuanza leo kutoheshimu mihimili mingine

Otunba

Member
Nov 11, 2016
12
28
Nilikuwa nazunguka katika harakati za kufukua makaburi, nimeona kumbe hakuanza leo kudharau mihimili mingine, alikuwa anajitungia kanuni bila ushauri wa wengine, alikuwa anapuuza sheria na maamuzi ya mahakama kuna sehemu amefananishwa na NDULI kuna sehemu wamesema yeye ni mtaalamu wa Kemikali anajifanya anajua masuala ya sheria zaidi ya mahakama. Ngoja nisimalizie utamu niwaache muangalie wenyewe.

 
Nilikuwa nazunguka katika harakati za kufukua makaburi, nimeona kumbe hakuanza leo kudharau mihimili mingine, alikuwa anajitungia kanuni bila ushauri wa wengine, alikuwa anapuuza sheria na maamuzi ya mahakama kuna sehemu amefananishwa na NDULI kuna sehemu wamesema yeye ni mtaalamu wa Kemikali anajifanya anajua masuala ya sheria zaidi ya mahakama. Ngoja nisimalizie utamu niwaache muangalie wenyewe.


Hapo chacha
 
Hiyo hukumu naijua, imepotoka na imekatiwa rufaa. Jaji alizingatia sheria ya ardhi ya vijiji badala ya sheria ya ardhi. Sheria imeweka wazi kuwa kunapokuwa na mgongano wa sheria kuhusu ardhi basi sheria ya ardhi na siyo sheria ya ardhi ya vijiji ndio itafuatwa. Sheria ya ardhi imetoa haki ya kipekee kwa reserved land ambayo ndani yake kuna hifadhi ya barabara.

Kwa sasa kuna hukumu mbili za mahakama kuu zinazopingana na zote zimepelekwa mahakama ya rufaa kwa maamuzi, ngoja nifuatilie kama hukumu zimetoka.
 
Hiyo hukumu naijua, imepotoka na imekatiwa rufaa. Jaji alizingatia sheria ya ardhi ya vijiji badala ya sheria ya ardhi. Sheria imeweka wazi kuwa kunapokuwa na mgongano wa sheria kuhusu ardhi basi sheria ya ardhi na siyo sheria ya ardhi ya vijiji ndio itafuatwa. Sheria ya ardhi imetoa haki ya kipekee kwa reserved land ambayo ndani yake kuna hifadhi ya barabara.

Kwa sasa kuna hukumu mbili za mahakama kuu zinazopingana na zote zimepelekwa mahakama ya rufaa kwa maamuzi, ngoja nifuatilie kama hukumu zimetoka.
Fanya Hima Uipate Hukumu Yake,Kama Hipo na Kisha Uitupie Humu!
 
Nilikuwa nazunguka katika harakati za kufukua makaburi, nimeona kumbe hakuanza leo kudharau mihimili mingine, alikuwa anajitungia kanuni bila ushauri wa wengine, alikuwa anapuuza sheria na maamuzi ya mahakama kuna sehemu amefananishwa na NDULI kuna sehemu wamesema yeye ni mtaalamu wa Kemikali anajifanya anajua masuala ya sheria zaidi ya mahakama. Ngoja nisimalizie utamu niwaache muangalie wenyewe.


Nawe unahangaika buree. Unadhani nchi hii kulikuwa na Bunge la kuheshimika? Je, kulikuwa na mahakama ya kuheshimika? Rais mwenye akili aheshimu mahakama na Bunge la akina Ndiyoooo na matusi ya nguoni?

Be serious back to human sense!
 
Hiyo hukumu naijua, imepotoka na imekatiwa rufaa. Jaji alizingatia sheria ya ardhi ya vijiji badala ya sheria ya ardhi. Sheria imeweka wazi kuwa kunapokuwa na mgongano wa sheria kuhusu ardhi basi sheria ya ardhi na siyo sheria ya ardhi ya vijiji ndio itafuatwa. Sheria ya ardhi imetoa haki ya kipekee kwa reserved land ambayo ndani yake kuna hifadhi ya barabara.

Kwa sasa kuna hukumu mbili za mahakama kuu zinazopingana na zote zimepelekwa mahakama ya rufaa kwa maamuzi, ngoja nifuatilie kama hukumu zimetoka.

Please tuwekee hukumu hizo kwa ajili ya elimu
 
Nilikuwa nazunguka katika harakati za kufukua makaburi, nimeona kumbe hakuanza leo kudharau mihimili mingine, alikuwa anajitungia kanuni bila ushauri wa wengine, alikuwa anapuuza sheria na maamuzi ya mahakama kuna sehemu amefananishwa na NDULI kuna sehemu wamesema yeye ni mtaalamu wa Kemikali anajifanya anajua masuala ya sheria zaidi ya mahakama. Ngoja nisimalizie utamu niwaache muangalie wenyewe.


Jamaa anasema serikali ni boss wa mihimili mingine kwa kuwa ndio inakusanya kodi,ndo yenye pesa,anasahau kuwa hizo pesa anazikusanya kwa mujibu wa sheria iliyotungwa na bunge na inatofasiriwa na mahakama ili kumuwezesha kukusanya hizo pesa, kwamba bila collaboration hiyo asingeweza kukushanya hizo pesa,aibu yake na ccm yake
 
Ukiangalia vizuri hiyo mihimili mitatu, utagundua kuwa mmoja umesimikwa deep zaidi ya mingine kwa sababu ndiyo unaotoa pesa, kuzitunza na kuzihifadhi. katiba nimeiweka pembeni acheni ninyooshe nchi kwanza

Katiba itawekwa pembeni hata kama rais hashitakiwi, katiba itawekwa pembeni ashitakiwe
 
Nilikuwa nazunguka katika harakati za kufukua makaburi, nimeona kumbe hakuanza leo kudharau mihimili mingine, alikuwa anajitungia kanuni bila ushauri wa wengine, alikuwa anapuuza sheria na maamuzi ya mahakama kuna sehemu amefananishwa na NDULI kuna sehemu wamesema yeye ni mtaalamu wa Kemikali anajifanya anajua masuala ya sheria zaidi ya mahakama. Ngoja nisimalizie utamu niwaache muangalie wenyewe.



Wale walioenda shule vizuri wanatambua theory maarufu ya Kuhn's theory of scientific revolution. Kuhn anaamini hakuna nadharia nzuri itakayodumu duniani milele. Zitakuja nadharia kwa wakati wake, zitafanya kazi kwa muda na kadri mahitaji ya watu yatakavyobadilika hiyo nadharia itashindwa kukidhi vilivyo hivyo kutokea migongano, wengine kutokubali kuendelea kuitumia na wengine kutaka ibaki itumike. hiki kipindi huitwa crisis stage. Ikitokea nadharia ikakataliwa au ikashindwa kuleta matunda yatarajiwayo nadharia nyingine hujitokeza. Wakati umefika sasa wa kuona kuona nadharia inayohusu demokrasia ya magharibi imeshindwa. Nadharia hii haijawahi kuitoa nchi yeyote ile duniani kutoka katika umasikini. Badala yake madharia hii imezidi kuzifukarisha nchi masikini zenye kuifuata huku nchi zilizokuwa masikini zikaikataa nadharia ya demokrasia ya magharibi zimepiga hatua kubwa. Tuache ku kremu mambo ya mihimili ambayo hayana tija na ustawi wetu. Tujenge mfumo wenye kuheshimu watu na kumfanya kila mmoja wetu awajibike kufikia lengo awe anataka au hataki.Maslahi mapana ya walio wengi yawekwe mbele. Tukikopi kutoka kwa Machiaveli kiasi na mengine kwa Rouseau tutafika. Kukremu mambo yasiyo kichwa wala miguu kama kasuku huku tukibana pua, tutabaki si kuwa masikini milele bali pia wajinga wa kutupwa!
 
Jamaa anasema serikali ni boss wa mihimili mingine kwa kuwa ndio inakusanya kodi,ndo yenye pesa,anasahau kuwa hizo pesa anazikusanya kwa mujibu wa sheria iliyotungwa na bunge na inatofasiriwa na mahakama ili kumuwezesha kukusanya hizo pesa, kwamba bila collaboration hiyo asingeweza kukushanya hizo pesa,aibu yake na ccm yake

Sheria na katiba itawekwa pembeni ashitakiwe hata kama rais hashitakiwi. Kama yeye alivyoziweka pembeni basi na wenzake watakuwa na udikiteita wa kuziweka pembeni
 
Back
Top Bottom