Bennybuluguy
Member
- Oct 10, 2016
- 23
- 9
Not Lema Letter at all,something iz caming lema gona be a free man sooon trust me
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mm simoHizi za chini ya kapeti nasikia kwenye maono ya Lema alianza kuondoka Faru John halafu ndio akafuatia Rahisi John.....
Huna lolote wewe, Chadema nyie ni watu wa hovyo kuwahi kutokea ndani ya taifa hili. Jiongeze acha ulofa na upu....Lema ana akili sana kuliko wanavyo mdhania. Hakika hii barua mtakuja kushangaa baadae ni moja ya mambo yatakayo tumika kutambulisha harakati za Lema maishani mwake. Hata wakina Mandela barua zao wakiwa jela zimewaongezea umaarufu sana kwenye maisha yao ingawa ni za kawaida tuu.
Kuna tofauti kati ya barua iliyo andikwa na mtu akiwa hospitalini na yule aliyeko jela kwa sababu za kisiasa
Sizitaki mbichi hizi sungura akagumia.naona nafanya kazi bila faida kujua.
Eliza kilazaaMagereza wapo smart sana. Hawakuruhusu Lema kuweka alama yoyote kwenye hiyo barua isipokuwa saini yake ya dole gumba tu
Ni Ndoto=Tuweke siasa pembeni kuna ushujaa gani kumtabiria Rais kifo ?
Hakuna ushujaa wowote,tatizo mdomo ulifeli brekiTuweke siasa pembeni kuna ushujaa gani kumtabiria Rais kifo ?
Yaan mnaogopa ata alama za muota ndoto daaah hii sasa kubwa kuliko
Hiyo barua haisomeki inasemaje???????.Lema ana akili sana kuliko wanavyo mdhania. Hakika hii barua mtakuja kushangaa baadae ni moja ya mambo yatakayo tumika kutambulisha harakati za Lema maishani mwake. Hata wakina Mandela barua zao wakiwa jela zimewaongezea umaarufu sana kwenye maisha yao ingawa ni za kawaida tuu.
Kuna tofauti kati ya barua iliyo andikwa na mtu akiwa hospitalini na yule aliyeko jela kwa sababu za kisiasa
MnahangaikaHakuna ushujaa wowote,tatizo mdomo ulifeli breki