sidhani kama kuna mtu anampenda lowasa kwa namana unavyoongea wewe. watu walikuwa na matumaini kuboresha nchi ya Tanzania kusiwe na ukosefu wa pesa na ajira kama ilivyo sasaivi.wewe ukiona una mawazo kichwani ya aina hiyo kwa wanajf wenzio,ujue wewe unatakiwa kutiliwa shaka.Sijawahi kuona mwanaume anampenda na kumfuatilia mwanaume zake Kama wewe.
ufisadi ni kweli alikuwa fisadi. cha kuongea hapa ni kwamba hakuwa fisadi peke yake. hakuna mtu alikuwa mwanasisiemu anayewakera na anayewawekea kauzibe wapinzani kama huyu jamaa. na hapo anajifanya mpinzani kwasababu kule alikotarajia kupata amekosa. watu kama hao ni wakuwaogopa sana, ni watu wa maslahi. however, ni bora tungepata mtu wa maslahi kuliko maisha magumu namna hii. january hii watoto shule ada, single mothers sasaivi ndio watagegedwa kuliko kipindi kingine chochote ili wapate hela ya ada za watoto. si dhambi hizo.Ufisadi upi mbn magu kafungua mahakama ya mafisad lkn hadi leo imepelekwa kasi mmoja tu km lowasa ni fisad c wengempeleka acha upumbumbu ww
ngoja wapunguze kiwango cha definition ya wanaopelekwa mahakama ya mafisadi kwanza, hapo ndio watajaa. kuweka mabilioni wakati ufisadi unaanzia hata milioni mia moja tu haikuwa sahihi. washushe tu fisadi awe mtu aliyeiba walau milioni mia moja. chini ya hapo apelekwe mahakama ya kawaida.Ufisadi upi mbn magu kafungua mahakama ya mafisad lkn hadi leo imepelekwa kasi mmoja tu km lowasa ni fisad c wengempeleka acha upumbumbu ww
Sema kweli, hayo matembezi ya jioni au wanaoneshana mipaka ya mapori aliyojitwalia akiwa madarakani?Waziri mkuu mstaafu na mjumbe wa kamati kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo Mh. Edward Lowassa akiwa na wajukuu zake katika matembezi ya jioni.
Lowassa yuko shambani kwake Handeni mkoani Tanga kwa mapumziko ya sikukuu za mwisho wa mwaka.
View attachment 450659
View attachment 450660
lowasa angekuwa hali kitimoto ungeongea hayo unayoyaongea au unge mute?Sema kweli, hayo matembezi jioni au wanaoneshana mipaka ya mapori aliyojitwalia akiwa madarakani?
Jiongezelowasa ni mwizi kama wezi wengine wenzake waliobaki ccm . ..ni mfumo tu wa kifisadi unaowalinda....ndio maana hapelekwi mahakamani
Yupo vacation na wajukuu wake hio raha tosha kwa babu kuwa na wajukuu zake. tusiifanye siasa kujenga chuki mpaka maisha ya kawaida.Hapo anakula raha gani
Hii ina vigezo vyote kuitwa kuwa ni habari ya siasa, labda tu kama utakuwa huna uelewa wa kutosha kuhusu habari ni nini, na labda humpendi tu huyu mwanasiasa!hii sio habari ya kisiasa plz
vacation gani vumbi tupu,au ameenda kutambika kama alivyoelekezwa na mganga wake TB JoshuaYupo vacation na wajukuu wake hio raha tosha kwa babu kuwa na wajukuu zake. tusiifanye siasa kujenga chuki mpaka maisha ya kawaida.
Nitiliwa shaka kwa lipi? Kwa kutoa maoni yangu juu ya vitendo vyenu vya kuwa na mapenzi yakupitiliza kwa mwanaume mwenzenu.sidhani kama kuna mtu anampenda lowasa kwa namana unavyoongea wewe. watu walikuwa na matumaini kuboresha nchi ya Tanzania kusiwe na ukosefu wa pesa na ajira kama ilivyo sasaivi.wewe ukiona una mawazo kichwani ya aina hiyo kwa wanajf wenzio,ujue wewe unatakiwa kutiliwa shaka.