ila kwa jinsi watanzania tulivyo ukijifanya kiherehere wa kutetea utakufa si wewe peke yako na kikazi chako hakuna wakusimama kukupigania walifungwa,wengine wamepotea wengine walipigwa risasi hakuna aliyeonenyesha nia ya dhati ya kuhoji haya, wanaishia mitandaoni na vijiwe vya kahawa tuu ,mfano...
Usiache kazi mkuu kama umeoa hakikisha mkeo anajua kila kitu kuhusu hiyo biashara then mpe nafasi asimamie kuhusu kumweka ndugu hapana pia ,,naamini kupitia kazi yako ndo umeweza kufanya hiyo biashara ,,biashara mpka kusimama na kujua changamoto zake ni bahati tuu zinawatokea watu unaweza fanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.