Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,469
- 17,578
Mimi kimasihara sitaki tena kwako ndio nimefikaUkiendelea kimasikhara ujiandae kisaikolojia
Mimi kimasihara sitaki tena kwako ndio nimefikaUkiendelea kimasikhara ujiandae kisaikolojia
Kuwa makini,usijepigwa na kitu kizitoMimi kimasihara sitaki tena kwako ndio nimefika
Naona unatafuta bwana wewenasikia wanawake wa huko wana tabia kama wanaume wa kikurya when it comes to jabbing, ni kweli?
hakunaga mke wa nyampala jela hizo ni story tu za vijiweni mimi nimeshakaa jela najua kila kituKama sio rahisi ndo utaenda jela kuwa mke wa nyapara
Uamuzi ni wako.
Udhaifu wao uko wapi iki wana uwezo wa kuzimisha viumbe hodari?Viumbe dhaifu!
Kitu kizito na nani ?Kuwa makini,usijepigwa na kitu kizito
Na mimiKitu kizito na nani ?
Nadhani una bahati mbaya ya kukulia kwenye familia yenye ugomvi wa mara kwa mara. Au umepata bahati mbaya ya kuwa na mwenza msiyeelewana. Kuna familia nyingi tu zinaishi kwa amani mustarehe mpaka mtu unaona usipokuwa kwenye ndoa umekosa kitu muhimu sana.ukitaka Maisha marefu usioe
Unataka kuniacha Solemba bibie eti ?Na mimi
Ukileta za kuleta lazima upigwe na kitu kizitoUnataka kuniacha Solemba bibie eti ?
Mara nyingi ukishaona ndoa inakuwa na ugomvi wa mara kwa mara basi tegemea lolote kutokea na ni vizuri kuachana kwa kistaarabu mapema. Haya mauaji chanzo chake ni ugomvi tena pengine mdogo sana. Ngoja niseme kitu kimoja. Kwenye ndoa yoyote mwanamke anatakiwa kuwa mvumilivu na atumie busara kuliko mwanaume. Msione kama mimi ni mshabiki wa mfumo dume la. Hii ni nature ya ubinadamu tu kuwa mnapokuwa watu zaidi ya wawili, basi awepo mwenye turufu kubwa ya maamuzi kuliko mwengine. Ukienda hata nchi za Ulaya wanazosema haki za wanawake ziko juu sana bado utakuta wanaume ndiyo viongozi wa nyumba.zile harakati za kuachana tu,nazo ni mtihani mkuu,hususani muwe na hazina yakutosha,ni balaa. mnaanza kuviziana nani anatangulia kukata kauli ya kumwacha mwenzie. Soln ni kuvumiliana pale inapostahili .ikishindikana ,ondoka kaa mbali nae!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nimesema hivo kutokana na matukio ya siku hizi wanandoa kuuanaNadhani una bahati mbaya ya kukulia kwenye familia yenye ugomvi wa mara kwa mara. Au umepata bahati mbaya ya kuwa na mwenza msiyeelewana. Kuna familia nyingi tu zinaishi kwa amani mustarehe mpaka mtu unaona usipokuwa kwenye ndoa umekosa kitu muhimu sana.
jamani 22yrs kamuua 33yrs tena mwanaume kivip ?