FT: NBC Premier League | Young Africans 3-0 Coastal Union | Mkapa Stadium | YANGA BINGWA

Utopolo mbona kumepoa hivi? Inaonekana ni ubingwa wa makandokando huu. Yaani kurasa 7 tu hadi sasa!!?
Msimu huu utopolo makombe yao yote ni makondo kando. Walianza kwenye ngao ya hisani ni makando kando, nusu fainali ya Azam ni makando kando hata wakibeba hilo kombe ni kwavile kaingia kimchongo fainali. Hili la ligi kuu nalo ni makando kando vile vile
 
Back
Top Bottom