Recent content by onedayes

  1. onedayes

    RC Makonda amuweka ndani Mwenyekiti Serikali ya Mtaa akiwa mkutanoni

    MLETA MADA NAMASHAKA NA WEWE HILO SIO KOSA AMBALO ANATUHUMIWA KOSA LAKE NI KUWAPATIA WANANCHI RISITI BANDIA KWA MAANA HAZIKUTOKA HALMASHAURI.
  2. onedayes

    Mafunzo ya JKT kwa kujitolea kwa mwaka 2016

    Hakuna aliyelalamika kamanda ni mtazamo tuu unajibu halafu unakaa kushoto
  3. onedayes

    Mafunzo ya JKT kwa kujitolea kwa mwaka 2016

    Wale ni miezi mitatu kama sheria inavyosema na taratibu hivyo wanatuacha wazalendo tunakula bata
  4. onedayes

    Mafunzo ya JKT kwa kujitolea kwa mwaka 2016

    KWA WALE WENZANGU WA DAR TO 842 KJ MLALE SONGEA KUTOKA DAR TO SONGEA NI TAKRIBANI MASAA KUMI NA NNE (14).UKITOKA UBUNGO SAA KUMI NA MBILI ALFAJIRI (12) UTAFIKA SAA NNE (4) USIKU SONGEA NA SIKU YA KURIPOT KAMA ILIVYOTANGAZWA TAREHE MOJA. SWALI JE WATQLALA SONGEA MJINI NA KESHO YAKE NDIO WARIPOT...
  5. onedayes

    Mafunzo ya JKT kwa kujitolea kwa mwaka 2016

    Mamaa tena na tenaa ( TENAAA) Tena na tenaaa eeeeee ( TENAA) Wape morali TENA,Wape moralii
  6. onedayes

    Mafunzo ya JKT kwa kujitolea kwa mwaka 2016

    Tarehe 1 mwezi wa 12 sio mbali wazalendo tujiandae mapema
  7. onedayes

    Mafunzo ya JKT kwa kujitolea kwa mwaka 2016

    Daaahhhh kwakeli morali imerudi upyaaaaaaaaaaaa vijana morali
  8. onedayes

    Nina wasiwasi na utabiri wa TB Joshua kuhusu ushindi wa Clinton, maana mambo ni tofauti

    Nikwambie tuu@lizaboni wamarekani sio wanafiki kama waafrika
  9. onedayes

    Mafunzo ya JKT kwa kujitolea kwa mwaka 2016

    Rais Magufuli Alitaka Jeshi la Kujenga Taifa(JKT) Liongeze Kasi ya Uzalishaji wa Mazao ya Chakula Shirika la uzalishajimali lililo chini ya Jeshi la Kujenga Taifa (Suma – JKT) litaanza kutekeleza mpango wa kufuga samaki kwa kutumia vizimba (Cages) katika bahari ya Hindi baada ya mpango huo...
  10. onedayes

    Wapinzani Kamuombeni Msaada Kikwete

    Ndio uwelewa wako ulipoishia NIMESHINDWA KUKUSOMA kweli elimu inahitajika na maarifa ya ziada.
  11. onedayes

    Wapinzani Kamuombeni Msaada Kikwete

    Bado hujajibu swali hivi hilo darasa lako la mkoloni,hujafundishwa jinsi ya kujibu hoja au ndio mmekunywa maji ya bendera(kijani)
Back
Top Bottom