Alikuwa ana hakikiwa.du faizafoxy kaibuka tena, ulikuwa wapi dada yetu
Kwa uwelewa wako unazani macomrade waikina mdee,mbowe,lisu na wengne hawalijui hilo la jinsi ya kwenda na mwenendo wa kisiasa hapa nchin au kuna nafasi umehaidiwa teyari?
Bado hujajibu swali hivi hilo darasa lako la mkoloni,hujafundishwa jinsi ya kujibu hoja au ndio mmekunywa maji ya bendera(kijani)Kajifunze kuandika vizuri kabla hujaanza kupayuka na kubwabwaja bila mpango.
Sahau yalopita. Mi nakupitia twende. Mafuta ya kwenda na kurudi Msoga yapo. Hivi yupo Msoga ama pale Migombani?haya waende mi siendi
Check WASSIRA alivyo jiachia kwenye sofa anokodoa macho tuuu.... KodooooIkiwa ukisoma huelewi basi hata picha huoni?
![]()
Nendeni tu mkamuombe hikma zake na kudeka kama mlivyokuwa mkideka alipokuwa Ikulu.
Hatoki.tusubirie 2020 tumtoe
Ndio uwelewa wako ulipoishia NIMESHINDWA KUKUSOMA kweli elimu inahitajika na maarifa ya ziada.Nimeshindwa kulielewa swali lako kwani nilishindwa kukusoma, andika vizuri nikujibu.
Ile takwimu ya 1 kwa 4 haipo sahihi. Naamini ile ni 4 kwa 4.Ni kama vile hatujui pa kusimamia, juzi tu hapa JK alipewa kila jina, leo he's a hero.
Kuna wakati nahisi watanzania hatujui nini tunataka.
Siasa za Sullivan???Naunga mkono hoja kikwete ni mwanadiplomasia aliyebobea kwenye mambo ya siasa...............
Siasa sio kama jeshi by pro : Shivji........
Ikiwa ukisoma huelewi basi hata picha huoni?
![]()
Nendeni tu mkamuombe hikma zake na kudeka kama mlivyokuwa mkideka alipokuwa Ikulu.