Recent content by Ondio Osio

  1. Ondio Osio

    Ggm,Kmcl, Mambo si mazuri.

    Kutokana na kuvuma kwa tetesi, toka kwa mashirika ya ifadhi za jamii Nss na Ppf kutoa mafao ya wafanyakazi wa mashirika binafsi na makampuni, ambayo kwa sasa yatafanyika hadi mfanyakazi atakapo fikisha miaka 55 tofauti na ilivokua, unapata mafao yako kwa muda wa miezi 3, hadi kufikia ivi sasa...
  2. Ondio Osio

    Ggm,Kmcl, Mambo si mazuri.

    Kutokana na kuvuma kwa tetesi, toka kwa mashirika ya ifadhi za jamii Nss na Ppf kutoa mafao ya wafanyakazi wa mashirika binafsi na makampuni, ambayo kwa sasa yatafanyika hadi mfanyakazi atakapo fikisha miaka 55 tofauti na ilivokua, unapata mafao yako kwa muda wa miezi 3, hadi kufikia ivi sasa...
  3. Ondio Osio

    Huyu Muhishimiwa Dkt. Mohammed Gharib Bilal anacho fanya ni sahihi?

    ka acheni ka babu kale bata kako kwenye kwenye danger zone bana.
  4. Ondio Osio

    ITV na udhalilishaji wa wenzetu wenye ulemavu..

    Sioni kama kuna udhalilishaji wa aina yoyote muacheni mengi mtu wa watu bana.je na kwa wale wagonjwa wa moyo anao wapeleka india kwa jili ya matibabu ana kua anawadhalilisha wa gonjwa wa moyo? Endelea mengi malipo yako yapo mbinguni.
  5. Ondio Osio

    Naonekana kama mvuta bangi

    Aksante sana kwa ushauri wako.
  6. Ondio Osio

    Naonekana kama mvuta bangi

    sio mimi alafu yangu hayasinzi.
  7. Ondio Osio

    Naonekana kama mvuta bangi

    Naomba msaada wanaJF, Mimi situmii kilevi chochote wala sigara lakini macho yangu huwa na rangi nyekundu. Imefikia mpaka naonekana kama mvuta bangi. Je, naweza kutumia dawa gani ili yaweze kuwa na hali ya kawaida? Nawatakia heri ya mwaka mpya.
  8. Ondio Osio

    JK Rais Bora kuliko wote Tanzania

    kweli matopeee!!
  9. Ondio Osio

    RAGE awanyang'anya vifaa vya muziki bendi ya Sensema Malunde

    Safi sana kwani walikua hawalijui hilo next time wajifunze.
  10. Ondio Osio

    UMEME: Tanesco, Ngeleja OMBENI MSAMAHA Kwa KAKOBE

    Uheshimiwe na uhimidiwe MUNNGU wa elia, isaka, kakobe na tb joshua.
  11. Ondio Osio

    Mwanajeshi JKT akamatwa na gunia 12 ya bangi moro

    Soluteeee,kamanda wamemuonea kmkamata anajitafutia ngawila garama za maisha zimepanda.
  12. Ondio Osio

    Ndanda kossovo atimuliwa nchini

    Rushwa adui wa haki.,
  13. Ondio Osio

    Ongezeko la Posho za Wabunge ni Wizi na Dhulma dhidi ya Wafanyakazi

    Msihofu iko siku inakuja wanyonge watainuliwa tumuombe MUNGU.
Back
Top Bottom