Ondio Osio
Member
- Sep 11, 2011
- 24
- 3
Naomba msaada wanaJF,
Mimi situmii kilevi chochote wala sigara lakini macho yangu huwa na rangi nyekundu. Imefikia mpaka naonekana kama mvuta bangi.
Je, naweza kutumia dawa gani ili yaweze kuwa na hali ya kawaida?
Nawatakia heri ya mwaka mpya.
Mimi situmii kilevi chochote wala sigara lakini macho yangu huwa na rangi nyekundu. Imefikia mpaka naonekana kama mvuta bangi.
Je, naweza kutumia dawa gani ili yaweze kuwa na hali ya kawaida?
Nawatakia heri ya mwaka mpya.