Wangefukuzwa tungesema ni hasara kwa kurudia uchaguzi ni bora kuwaacha wamalize kipindi chao cha ubunge ambacho ni muda mfupi umebaki then wanatoswa awamu ijayo. Me nadhan watakuwa na wakati mgumu kwao na ni bora wangefukuzwa wangekuwa na la kusema
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.