Recent content by Omugisha

  1. Omugisha

    Msaada wa haya mawe

    Izo ni kokoto sio mawe
  2. Omugisha

    Kamati Kuu ya CHADEMA yawakuta na hatia Kubenea na Komu. Wavuliwa nyadhifa zote chamani na kupewa onyo

    Wangefukuzwa tungesema ni hasara kwa kurudia uchaguzi ni bora kuwaacha wamalize kipindi chao cha ubunge ambacho ni muda mfupi umebaki then wanatoswa awamu ijayo. Me nadhan watakuwa na wakati mgumu kwao na ni bora wangefukuzwa wangekuwa na la kusema
  3. Omugisha

    Kosea vyote lakini siyo mtu wa kuoa ama kuolewa naye

    Mpandishe cheo awe B mkubwa
  4. Omugisha

    Mashoto Tukutane hapa.

    Ni deal sema uko pande zipi tuchukue mkwanja fasta
  5. Omugisha

    Yani nimekasirika kinomaa. Wanawake acheni hii tabia

    Dogo unacheza na KE wa kisasa na ujiandae kutangaza ndoa
  6. Omugisha

    Kwanini Watanzania ni watu ,,innocent“ sana?

    Mmemponda ila ukisoma kwa makini kuna mambo ya kweli na ya msingi kaongea kutuhusu wa Tz
  7. Omugisha

    Wanaume wa Dar tukutane hapa...

    😃😃😃😃
  8. Omugisha

    Kikwazo hiki kikitolewa naoa hata leo

    Ni kweli dem ni mmoja tu hapo ilo zigo ni furaisha macho tu
  9. Omugisha

    Pole sana Nape Nnauye Mkao wako Unaonyesha unavyoporomoka kisiasa kwasababu ya wahamiaji

    Ila wanasiasa ni watu wa kuwaogopa sana yani hao jamaa wawili kama sio wenyewe vile
  10. Omugisha

    Kwa mambo makubwa anayoyafanya mtoto wa Tandale, kama wananchi wakimuhitaji tuu, Kubenea mpishe!.

    Mayala kuna kitu kasikia sio bure ila muda ndio utaongea
  11. Omugisha

    Shule ya mafunzo ya mbwa

    Ivi yule wa kalibu na stesheni alipatikana
  12. Omugisha

    Pesa ya kustaafu ya mtu inanikosesha usingizi mwaka sasa

    😃😃 mnamchosha mheshimiwa wetu
Back
Top Bottom