Pesa ya kustaafu ya mtu inanikosesha usingizi mwaka sasa

Pesa ya kustaafu ya mtu inanikosesha usingizi mwaka sasa

Jindal Singh

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2015
Posts
1,857
Reaction score
1,542
Mtegemea cha ndugu hufa masikini, lakini mimi acha nife masikini. Kuna ndugu yangu mmoja anafatilia mafao yake sasa ni mwaka unaenda na kila anapokwenda makao makuu ya pspf japo ss imeungwanishwa pamoja, kila anapoenda anapigwa tarehe tu mara sasa hivi kaingia mkurugenzi mpya anafanya uhakiki mara mifuko imeunganishawa mara soon utafurahi basi ilimradi upate faraja, sasa huyu jamaa ananipeleka loss,

Mpaka sasa ashatumia tsh. 5million ya kuazima ili asubirie mafao yake siwezi mtosa sababu ni jamaa wa karibu, kumwacha hivi hivi ni sawa kumtupa. Sasa naona kila siku gharama ya kumuhudumia inazidi tu! kila siku anaweweseka na siku nyengine ananambia kuwa ameota ndoto amepokea pesa yake yote du!, ila namvutia muda tu!
nikiona hali bado inabidi nimkatae.

Note

Kuna kazi kabla ya kufanya inabidi utafakari kwa kina kama UALIMU.
 
Wakuu narudua tena wakuu mulioajiriwa, hakuna kitu hatari kama kutegemea mshahara pekee bila kua na kitega uchumi kingine.

Pensheni yenyewe kwa asilimia kubwa inabaki serikalini. Hapo umeezeka, nguvu huna pengine na magonjwa yanakuandama. Ha ha ha utakoma.

Mkuu wewe dai hela yako wala usimuonee huruma. Ukiona hana uwezo wa kukulipa, chukua vitu vyake.
 
Wakuu narudua tena wakuu mulioajiriwa, hakuna kitu hatari kama kutegemea mshahara pekee bila kua na kitega uchumi kingine.

Pensheni yenyewe kwa asilimia kubwa inabaki serikalini. Hapo umeezeka, nguvu huna pengine na magonjwa yanakuandama. Ha ha ha utakoma.

Mkuu wewe dai hela yako wala usimuonee huruma. Ukiona hana uwezo wa kukulipa, chukua vitu vyake.
Umri wake umeenda na ni huruma sana.
 
Wakuu narudua tena wakuu mulioajiriwa, hakuna kitu hatari kama kutegemea mshahara pekee bila kua na kitega uchumi kingine.

Pensheni yenyewe kwa asilimia kubwa inabaki serikalini. Hapo umeezeka, nguvu huna pengine na magonjwa yanakuandama. Ha ha ha utakoma.

Mkuu wewe dai hela yako wala usimuonee huruma. Ukiona hana uwezo wa kukulipa, chukua vitu vyake.
Sasa ushaambiwa mtu mwenyewe ni kapuku...anasubiri pension....ama unataka amle nyama
 
Mtegemea cha ndugu hufa masikini, lakini mimi acha nife masikini. Kuna ndugu yangu mmoja anafatilia mafao yake sasa ni mwaka unaenda na kila anapokwenda makao makuu ya pspf japo ss imeungwanishwa pamoja, kila anapoenda anapigwa tarehe tu mara sasa hivi kaingia mkurugenzi mpya anafanya uhakiki mara mifuko imeunganishawa mara soon utafurahi basi ilimradi upate faraja, sasa huyu jamaa ananipeleka loss,

Mpaka sasa ashatumia tsh. 5million ya kuazima ili asubirie mafao yake siwezi mtosa sababu ni jamaa wa karibu, kumwacha hivi hivi ni sawa kumtupa. Sasa naona kila siku gharama ya kumuhudumia inazidi tu! kila siku anaweweseka na siku nyengine ananambia kuwa ameota ndoto amepokea pesa yake yote du!, ila namvutia muda tu!
nikiona hali bado inabidi nimkatae.

Note

Kuna kazi kabla ya kufanya inabidi utafakari kwa kina kama UALIMU.
Mkuu ww ni mjanja,kazi ya ualimu sijui ina shida gani jamani, ni majanga
 
Mbona wengine huwa hawazungushwi zungushwi muda mrefu hivyo kama huyo jamaa yako?
Wanamwambia kuna shida gani?
Mwambie avizie siku akiona JPM ana pita kwenye msafara kuongea na wananchi, aandike bango lake alinyanyue juu, mkuu akilisoma atatoa maelekezo.
 
Hii mifuko ya Jamii imegeuka kuwa taasisi za kitapeli. Wastaafu wanasota haswa. Kila mara wanapigwa danadana
 
Mbona wengine huwa hawazungushwi zungushwi muda mrefu hivyo kama huyo jamaa yako?
Wanamwambia kuna shida gani?
Mwambie avizie siku akiona JPM ana pita kwenye msafara kuongea na wananchi, aandike bango lake alinyanyue juu, mkuu akilisoma atatoa maelekezo.
😃😃 mnamchosha mheshimiwa wetu
 
Mtegemea cha ndugu hufa masikini, lakini mimi acha nife masikini. Kuna ndugu yangu mmoja anafatilia mafao yake sasa ni mwaka unaenda na kila anapokwenda makao makuu ya pspf japo ss imeungwanishwa pamoja, kila anapoenda anapigwa tarehe tu mara sasa hivi kaingia mkurugenzi mpya anafanya uhakiki mara mifuko imeunganishawa mara soon utafurahi basi ilimradi upate faraja, sasa huyu jamaa ananipeleka loss,

Mpaka sasa ashatumia tsh. 5million ya kuazima ili asubirie mafao yake siwezi mtosa sababu ni jamaa wa karibu, kumwacha hivi hivi ni sawa kumtupa. Sasa naona kila siku gharama ya kumuhudumia inazidi tu! kila siku anaweweseka na siku nyengine ananambia kuwa ameota ndoto amepokea pesa yake yote du!, ila namvutia muda tu!
nikiona hali bado inabidi nimkatae.

Note

Kuna kazi kabla ya kufanya inabidi utafakari kwa kina kama UALIMU.
Watu WA hivyo wapo wengi Dsm
 
Mbona wengine huwa hawazungushwi zungushwi muda mrefu hivyo kama huyo jamaa yako?
Wanamwambia kuna shida gani?
Mwambie avizie siku akiona JPM ana pita kwenye msafara kuongea na wananchi, aandike bango lake alinyanyue juu, mkuu akilisoma atatoa maelekezo.
He is cause of all these troubles
 
Serikali hii iliyo madarakani tumeiweka watanzania wote. Acha itunyooshe mpaka akili zirudi.
 
Mbona wengine huwa hawazungushwi zungushwi muda mrefu hivyo kama huyo jamaa yako?
Wanamwambia kuna shida gani?
Mwambie avizie siku akiona JPM ana pita kwenye msafara kuongea na wananchi, aandike bango lake alinyanyue juu, mkuu akilisoma atatoa maelekezo.
Hahaha! huu ni ubunifu pekee.
 
Back
Top Bottom