Tumpara Dudu
JF-Expert Member
- Nov 15, 2016
- 617
- 487
Habari zenu wana Great thinkers.
Naomba msaada wenu kwa anaejua shule ya mbwa ktk mkoa wa Dar es salaam.
Ninampango wa kununua mbwa aina ya PITBULL lkn nasita kwakua nimeambiwa aina hii ya mbwa huwa haina rafiki wa kudumu na inaweza kukuchenchia wakat wowote ispokuwa tu kama anamafunzo,ndipo huweza kujizuia kuleta zogo kwa bosi wake. Aina hii nasikia ni aina ya mbwa wakali kuliko wote Duniani.
Please! Wanajopo naomba mnielekeze ninapoweza kuipata shule ya mbwa ili nikimnunua nikamuanzishe shule
Ahsanteni
Naomba msaada wenu kwa anaejua shule ya mbwa ktk mkoa wa Dar es salaam.
Ninampango wa kununua mbwa aina ya PITBULL lkn nasita kwakua nimeambiwa aina hii ya mbwa huwa haina rafiki wa kudumu na inaweza kukuchenchia wakat wowote ispokuwa tu kama anamafunzo,ndipo huweza kujizuia kuleta zogo kwa bosi wake. Aina hii nasikia ni aina ya mbwa wakali kuliko wote Duniani.
Please! Wanajopo naomba mnielekeze ninapoweza kuipata shule ya mbwa ili nikimnunua nikamuanzishe shule
Ahsanteni