Kwanini Watanzania ni watu ,,innocent“ sana?

Kwanini Watanzania ni watu ,,innocent“ sana?

Barbarosa

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2015
Posts
22,584
Reaction score
27,838
Ni watu fair sana, wanaichukulia Dunia kama vile mtoto mdogo, unajua mtoto mdogo alivyo?
Anamchekea kila mtu, anatabirika akilia aidha ana njaa, usingizi, ugonjwa n.k.

Mtoto mdogo Dunia yake ni kamilifu, hajui Ubaguzi hata kama ukimbagua, hajui chuki hata ukimchukia atakupenda na kukuchekea tu.

Hapa naamanisha mtoto wa miaka 0-2, sasa kwa nini Watanzania ni watu wazuri na sana, ukilinganisha na watu wengine kama Wazungu, Wachina, Wahindi, Waarabu au hata Wasomali?

I mean, Watanzania ni wazuri na wema mpaka wanakera, ukienda kwake atalaza mtoto wake chini akuachie chumba, atampikia mgeni chakula bora ambacho watoto wake wa kuzaa hawapikii, atajibadilisha kwa ajili ya kumfurahisha mgeni ambaye anakuja na kuondoka kwa gharama ya watoto wake wa kuzaa.

Mtanzania ni mwema sana, hivi ni kwa nini? Dunia ya Mtanzania ni ,,fair“ sana hili limekuwa likinishangaza sana tangia niko mdogo kuhusu jamii yangu, kuna siku niliangalia program nafikiri ilikuwa ni BBC au CNN kuhusu TZ na maisha yake, matatizo kama umaskini na magonjwa mwisho wa program yule Mzungu mtangazaji akasema ,, ... but there‘s no friendlier place like Tanzania, people are happy laughing and smiling inspite of their problems ...“

Nilishindwa kuelewa alichomaanisha, ...
 
Tunogopa kusemwa kuwa sie ni wachoyo wenye roho mbaya.
 
Tunogopa kusemwa kuwa sie ni wachoyo wenye roho mbaya.
Muulize ni kwa mhindi, mchina au mzungu gani alienda akafukuzwa? Wanaowalisha watoto yatima na Albino ni watanzania au wanaowanchinja ni wazungu? Huyu kiumbe akishazipuliza huwa anakuja na upupu usiokuwa na mipaka.
 
Ni watu fair sana, wanaichukulia Dunia kama vile mtoto mdogo, unajua mtoto mdogo alivyo?
Anamchekea kila mtu, anatabirika akilia aidha ana njaa, usingizi, ugonjwa n.k.

Mtoto mdogo Dunia yake ni kamilifu, hajui Ubaguzi hata kama ukimbagua, hajui chuki hata ukimchukia atakupenda na kukuchekea tu.

Hapa naamanisha mtoto wa miaka 0-2, sasa kwa nini Watanzania ni watu wazuri na sana, ukilinganisha na watu wengine kama Wazungu, Wachina, Wahindi, Waarabu au hata Wasomali?

I mean, Watanzania ni wazuri na wema mpaka wanakera, ukienda kwake atalaza mtoto wake chini akuachie chumba, atampikia mgeni chakula bora ambacho watoto wake wa kuzaa hawapikii, atajibadilisha kwa ajili ya kumfurahisha mgeni ambaye anakuja na kuondoka kwa gharama ya watoto wake wa kuzaa.

Mtanzania ni mwema sana, hivi ni kwa nini?
We ni kichaa,,tushajua unachomaanisha kenge wewe,,naona umefurahia wewe na genge lako kutekwa kwa MO,,INGEKUWA nchi zingine we nawe ilitakiwa uwe suspect namba moja nahisi,,,,kwa akili yako unaona MO si mzawa,,
 
Siku zote twiga ni mpole au fala nadhani(mtazamo wangu).
 
Siku zote twiga ni mpole au fala nadhani(mtazamo wangu).
 
"""""Waliomteka Moooo ni wazungu"""

Mungu anawaonaaaa. Msitufanye mazwazwa
 
Mmemponda ila ukisoma kwa makini kuna mambo ya kweli na ya msingi kaongea kutuhusu wa Tz
 
Ni watu fair sana, wanaichukulia Dunia kama vile mtoto mdogo, unajua mtoto mdogo alivyo?
Anamchekea kila mtu, anatabirika akilia aidha ana njaa, usingizi, ugonjwa n.k.

Mtoto mdogo Dunia yake ni kamilifu, hajui Ubaguzi hata kama ukimbagua, hajui chuki hata ukimchukia atakupenda na kukuchekea tu.

Hapa naamanisha mtoto wa miaka 0-2, sasa kwa nini Watanzania ni watu wazuri na sana, ukilinganisha na watu wengine kama Wazungu, Wachina, Wahindi, Waarabu au hata Wasomali?

I mean, Watanzania ni wazuri na wema mpaka wanakera, ukienda kwake atalaza mtoto wake chini akuachie chumba, atampikia mgeni chakula bora ambacho watoto wake wa kuzaa hawapikii, atajibadilisha kwa ajili ya kumfurahisha mgeni ambaye anakuja na kuondoka kwa gharama ya watoto wake wa kuzaa.

Mtanzania ni mwema sana, hivi ni kwa nini? Dunia ya Mtanzania ni ,,fair“ sana hili limekuwa likinishangaza sana tangia niko mdogo kuhusu jamii yangu, kuna siku niliangalia programm nafikiri ilikuwa ni BBC au CNN kuhusu TZ na maisha yake, matatizo kama umaskini na magonjwa mwisho wa Programm yule Mzungu mtangazaji akasema ,, ... but there‘s no friendlier place like Tanzania, people are happy laughing and smiling inspite of their problems“ !

Nilishindwa kuelewa alichomaanisha, ...

Fikirishi hii , iko poa.
 
We ni kichaa,,tushajua unachomaanisha kenge wewe,,naona umefurahia wewe na genge lako kutekwa kwa MO,,INGEKUWA nchi zingine we nawe ilitakiwa uwe suspect namba moja nahisi,,,,kwa akili yako unaona MO si mzawa,,
Wewe umekurupuka tu, ungesoma vizuri uelewe na utafakari chapisho la mleta mada...
 
Mmemponda ila ukisoma kwa makini kuna mambo ya kweli na ya msingi kaongea kutuhusu wa Tz
Hivi huwa unafuatilia post zake huyu kiumbe?
Asipoongelea wazungu, ataongelea wahindi akitoka hapo ni Chadema. Hivi nchi hii huwa ina chama kimoja tu cha upinzani nchini?
Ok kuongelea eti watanzania wapole sana hajacompare na nchi nyininge ulimwenguni au hata Africa yenyewe.
Huyu ni wale watu wamefungwa kwenye gunia ila anaweza sema anachotaka. Kama ana Exposure atwambie nchi gani amekwenda ku compare and contrust ndipo tutamwelewa. International politics zinahitaji expolsure yeye ametembelea balozi ngapi hapa duniani ili atwambie ameona nini ndo tuanzie hapo. Mtoto asiyetembea siku zote humsifia mama ye kuwa ni mpishi mzuri.
Hajui hata hizo reli zinajengwa kwa mkopo na bunge letu linaendeshwa kwa hisani ya serikali ya Uingereza kwa asilimia kubwa. Kama nadanganya watu waje wanisahihishe.
 
Hivi huwa unafuatilia post zake huyu kiumbe?
Asipoongelea wazungu, ataongelea wahindi akitoka hapo ni Chadema. Hivi nchi hii huwa ina chama kimoja tu cha upinzani nchini?
Ok kuongelea eti watanzania wapole sana hajacompare na nchi nyininge ulimwenguni au hata Africa yenyewe.
Huyu ni wale watu wamefungwa kwenye gunia ila anaweza sema anachotaka. Kama ana Exposure atwambie nchi gani amekwenda ku compare and contrust ndipo tutamwelewa. International politics zinahitaji expolsure yeye ametembelea balozi ngapi hapa duniani ili atwambie ameona nini ndo tuanzie hapo. Mtoto asiyetembea siku zote humsifia mama ye kuwa ni mpishi mzuri.
Hajui hata hizo reli zinajengwa kwa mkopo na bunge letu linaendeshwa kwa hisani ya serikali ya Uingereza kwa asilimia kubwa. Kama nadanganya watu waje wanisahihishe.
Tamaduni zote mbovu na za kimasikini na nyinigne zenye ku expose ujinga wa hali ya juu, chanzo chake ni ccm. Fuatilia utaona hilo.
 
Mgeni njoo mwenyeji apone.


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Our innocence rooted from Ignorance. We are not aware, how can we react?😀😀😀
 
  • Thanks
Reactions: Gut
Back
Top Bottom