mwisho2016
JF-Expert Member
- Jun 27, 2016
- 724
- 625
Duh
😀😀😀😀😀Yaani kuvaa Sendosi ya manyoya manyoya na kisuruali kimebana na tshirt yenye mipasuo pembeni ndio kuvaa kwa mpangilio?
Acha wa mikoani tuonekane washamba tu.
hahaha!Yaani kuvaa Sendosi ya manyoya manyoya na kisuruali kimebana na tshirt yenye mipasuo pembeni ndio kuvaa kwa mpangilio?
Acha wa mikoani tuonekane washamba tu.
😃😃😃😃Yaani kuvaa Sendosi ya manyoya manyoya na kisuruali kimebana na tshirt yenye mipasuo pembeni ndio kuvaa kwa mpangilio?
Acha wa mikoani tuonekane washamba tu.
Nadhani wanaposema wanaume wa dar hawajamaanisha usafi wala kuvaa au kujua vitu (utanashati) maaa hata muda mwingine mnavaa mpaka nguo za dada zenu na bado mnapendeza ila sasa tatizo linakuja kwenye ulegelege wenu sasa sijui kama inachangiwa na aina ya vyakula mnavyokula ila hii ya mahindi na malimao na pilipili kwa kweli haijakaa vizuri!!!!Kume kuwa na katabia kuwa wanaume wa Dar ni wazembe, watoto wa mama, mara wengi kama hatujui majukumu ya kiume. Ila nataka kuwadhibitishia wanaume wa Dar ndo tunaongoza kwa kuchakarika na Maisha, kukubalika na warembo tokana na ustarabu wetu na uungwana.
Hivi ni mwanaume gani anavaa kwa mpangilio hapa TZ kuliko wa Dar?, ila kama kawaida mti wenye matunda ndo upigwao mawe… ila kuna wanaume wako mikoani ila ndo wako ronyo ronyo balaa. Kuhusu kunyoa viduku na kula mahindi na ndimu ni mfumo tu wa maisha ila haibadirishi uhodari wetu dhidi ya wanaume wa mikoani.
Ukiwa kama mwanaume wa Dar, eleza ulivyofanya maajabu kwa wanaume na wanawake wa mikoani pindi ulipowatembelea katika mishe zako, haiwezekani tukiwa kama sisi ndo wakali wao afu watuchukulie poa.
watu wangu wa Mwananyamala, Kinondoni, Sinza, Kijitonyama, Mbezi, Temeke na Masaki najua hamtaniangusha.
Ila pamoja na ulegelege wetu ndo tunawafundisha ujanja na ukakamavu, mkija na mamisuli yenu, tunawaingiza mjin, mnalia wiki nzima afu tunawakopesha nauli ya kurud kijijin kwen.Nadhani wanaposema wanaume wa dar hawajamaanisha usafi wala kuvaa au kujua vitu (utanashati) maaa hata muda mwingine mnavaa mpaka nguo za dada zenu na bado mnapendeza ila sasa tatizo linakuja kwenye ulegelege wenu sasa sijui kama inachangiwa na aina ya vyakula mnavyokula ila hii ya mahindi na malimao na pilipili kwa kweli haijakaa vizuri!!!!
WANAUME WA MIKOANI OVYO KABISA...Eti mtu anapiga picha na liugali likuuubwa, ndio kujisifia mkoani.. Ngedere nyie, mtu haoigi, full kunuka jasho then anajisifia mwanaume wa mkoani... Fala kabisa, mtu hachani nywelie, hanyoi, yupo rafu then unajisifia mwanaume wa mkoani...
takataka kabisa