sweetlee
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 4,050
- 14,770


Nitakuwa refa kama wale wa kwenye mieleka.
Hata haujakosea kabisaWewe siyo mtu mzuri kabisaaa![]()
Hata haujakosea kabisa
Kwani huku watu wanafika![]()
Haya karibuSio kufika tu, unafika na kwenda mbele ya pluto.
Umefanana na ndugu yangu mmoja yupo huko Dar na yeye anapenda sana Thamthilia aliwahi kupata hadi mawasiliano ya Merlin.Haya karibu
Kila kiungo kwenye mwili kinatakiwa kua kisafi haijalishi kiko sehemu gani au kinatumikaje?Sitakusalimia na mkono wa kulia nikikugundua.
Wewe ni me au ke?
Umefanana na ndugu yangu mmoja yupo huko Dar na yeye anapenda sana Thamthilia aliwahi kupata hadi mawasiliano ya Merlin.



labda mimi ndio ndugu yakoBabu jomoniiiMi natumia mkono wa kushoto kuchambia... nadhani mi ni mwenzenu.

Dah nione kama ni wewe au lah.labda mimi ndio ndugu yako
Babu Una bill yako LA StanzaAmepata ziara ya siku nne kutembelea mwezini...
Ukija nyumbani niulize![]()
Aisee... mkoloni kanibana... nimemletea makalio huku ayacharaze atakavyo...Babu Una bill yako LA Stanza
Labeka mpenzi...Babu jomoniii![]()
KamooLabeka mpenzi...
Ni deal sema uko pande zipi tuchukue mkwanja fastazipi faida za mashoto.?
maana hapa home hao mashoto wapo wa2..
ni deal.!?