Recent content by Omugasi

  1. O

    Wake wa Marais wetu na Mambo yao

    Labda mumewe haoni vizuri mzee! inabidi awaonyeshe wa nje
  2. O

    Wahindi wa TRL watoweka na mabilioni!

    Phillemon, mi naelewe unayosema na siyo siri yanaumiza sana,anyway mi challenge yangu kwako na kwenu JF , ni vipi tutafanya kitu out of this, ikiwezeka kiwe tangible, yaani mchango wetu ni upi au nini tunaweza kufanya kwa taifa letu hili lililo oza, au tutabaki kuongelea hapa , na kuishia hapa tuu?
  3. O

    Wahindi wa TRL watoweka na mabilioni!

    Wakina Kahinda, Masaki,Rwabugiri na nyie member wengine wa JF nini mtafanya kuisaidia Tanzania,mbali na kusema 'ni shamba la bibi' au 'tulijua tu yatatokea kwa hao wahindi' n.k...
  4. O

    Wale wa Jitegemee secondary (Jiteute)! wazee wa kwato

    yupi huyo? alikuwa wa O-level au A-level?
  5. O

    Wale wa Jitegemee secondary (Jiteute)! wazee wa kwato

    ni kweli wakunyuti, mi alikuwa best yangu kinoma mungu amlaze pema. Lakini unajua wale maafande walikuwa wahuni sana kwa kuwatokea mabinti mmmhh hatari! binti akitokewa na akakubali hata smart area hakimbii. ila jamani pale ilikuwa mtu usichelewe zaidi ya saa mbili la sivyo utakula vichura mpaka...
  6. O

    Wale wa Jitegemee secondary (Jiteute)! wazee wa kwato

    Tujikumbushe jamani tulipotoka enzi za masawe! na hata kwa wale wadogo zetu mnaweza kutuambia yaliyoendelea kujiri, na wakubwa wetu mtuambie waliyojiri pia. Mnakumbuka enzi za kujificha kwenye madarasa ya steer-band, halafu maafande wakija ni kukimbizana nao,na wakitukamata kwato lake si mchezo...
  7. O

    Massage Saloon (Massage Parlour)

    editing inakushinda mzee? inashusha kiwango mkuu.tulia uandike utazidi kueleweka.
  8. O

    Bash La Mwaka NYC: Wakulu Tukutane Huko

    mmmmmhh!! hivi kaka wewe mwandishi wa vitabu????????? maana si mchezo hayo maneno yako,yaani kama hajajinyonga muhusika basi tena.
  9. O

    Hivi unaweza kumpata Mpenzi bila kutumia Fedha?

    kumpata mpenzi bila matumizi ya pesa haiwezekani! wengi wametoa vielelezo navikubali.Ila pia niongeze kwamba gharama zinatoka kwa wote pale kunapokuwa na mapenzi ya dhati. Mara nyingi kama binti hakuzimikii 'atamchuna' na kukuingiza gharama zisizo za lazima, kwa mfano binti anaweza kukuomba...
  10. O

    Wanawake Hawapendi nini?

    Sasa ndiyo nini hivyo!msaada tutani au? acha hizo mkubwa anzisha thread yako, acha kudandia za wenzako!
  11. O

    Pinda amshukia Zitto

    Hivi Pinda anamaanisha nini hasa? kwa kusema fedha ni za serikali? na eti serikali ni ya CCM. Hivi yamekuwa hayo jamani, yaani fedha si za mtanzania mlipa kodi wa nchi hii. Na je, serikali pia si ya wananchi? eti ya CCM? CCM wamepewa dhamani tu ya kuisimamia. Kwa maoni yangu Pinda anamatatizo...
  12. O

    Freemasons Inside - Out: Who are they? How they operate? How to join them?

    Mwenye ushahidi wa mahusiano kati ya freemason na ukatoliki atupe, tusiandikie mate.
  13. O

    The Life and Death of Michael Jackson & Other stories over him

    sure u'll get married one day!be positive! g'nite.
  14. O

    Kwani lazima kuoana?

    Ulijuaje? hasa la kulala usiku wa manane- wakati mwingine karibia na asubuhi kabisa! yaani husikii uchovu! jamani hii chemistry!!!
  15. O

    Zitto: "Majibu ya Sumari ni 'ovyo ovyo'"; atakiwa kufuta kauli!

    imebidi nisome profile yako mzee! maana reflection yako iko chini ya kiwango.unayoongea hata mtoto mdogo atakuita mwongo. wewe na kabwe mko mko vipi utuambie. labda mwenzetu mnajuana kivingine na mweshimiwa, lakini hiyo sisi haituhusu tunaangalia mambo yanayotendwa na mtu kwenye jamii na sio...
Back
Top Bottom