Wahindi wa TRL watoweka na mabilioni!

Lol! Jamani wahindi!
Hii dunia nafikiri hakuna watu wezi na matapeli kama wahindi. Cha kusikitisha ni kuwa hata serikali yetu haiwaamini hawa wahindi wa TRL lakini sijui kwanini waliwapa kuliendesha hili shirika. Nasema serikali haiwaamini kwa sababu hivi majuzi walipotaka kukopa mabilioni kutoka WB serikali ilishtuka ikasema pesa hizo ni nyingi sana ni lazima zipitie mikononi mwa serikali.

Kweli TZ ni shamba la bibi. Na hawa jamaa sijui kwanini wanajiamini kiasi hicho. Yaani hii ni dharau ya hali ya juu. Wahindi wanatudharau mno na wala hawana mpango wa kuona Tanzania inaendelea hata hawa wanaojidai ni wazawa. Peleleza nyendo zao katika biashara zao utatoa machozi.

Enough is enough, serikali sasa lazima iamke usingizini iwashughulikie.
 
Wacha nao wale sasa kama waliokula zamani hawakufanywa kitu, wao wafanyeje?
Si mliwapa wale? malalamiko utayasikia mjengo "oh mh supika hawa wamekula pesa na kuondoka bila kushughulikiwa. Lakini mh supika serikali imetimiza ilani ya chama. Naunga mkono ulaji mia kwa mia":D
 
Wahindi sasa wameamua kutimiza kile walichokuwa wamekipanga...Na kwavile mzee Jeet Peteel ana kesi ya kujibu ,basi wale wengine wote wenye deal chafu wanaanza kuchota na kukimbia wakijua wabongo wamekuwa mbogo..!

Tetesi nilizo nazo Hata Pale Kempinsk ( Kilimanjaro Hotel ) pameanza kufuka moshi kwani wahindi wanaanza kuwa peleka puta wafanyakazi wa kibongo pasipo sababu za kimsingi .. Na 50% ya wafanya kazi wanataka kutimua kuwaachia Hotel ..!!

Watu walichota pesa Hotel ikapewa muwekezaji feki ambaye aliwalisha asali washikaji wakaamua kumpa yeye na kumpiga Mengi chini wakijua Mengi asinge weza kuwapa kidogo dogo..Sasa utasikia wimbo wake..!

Wale waliosema kipindi kile Mengi hakuwa na vigezo vya kupewa Hotel sijui wata mbeba kwa mbeleko gani ..!!


This time mbwa haruki..Tutabanana hapa hapa Bongo..! Ile skendol ya wale wazungu kuchomewa nyumba na mashamba kule Zimbabwe inaanza kunukia Bongo..!
 
Taarifa nilizozipata punde toka chanzo cha ndani kabisa kwa maana ya mtumishi wa TRL makao makuu ni kuwa wale vibosile wa TRL ambao ni wahindi wametoweka na kiasi kubwa cha fedha na kubakiwa wahindi wachache wa kada za chini ambao hata hivyo nao wamekuwa wakiondoka mmoja baada ya mwingine, naomba kanzi kafanye kazi hii ili kuthibisha ukweli huu au yeyote mwenye access na TRL atujuze juu ya tetesi hizi

Habari hii ikiwa kweli ni fundisho jingine kwa watawala wetu mbumbumbu na wabinafsi. Rites walinyimwa reli Kenya, huku wakapewa kirahisi kabisa. Hii inanikumbusha chifu Mangungo wa Msovero na Karl Peters.....kuuza nchi kwa shanga na nguo za mtumba.
 
Wakina Kahinda, Masaki,Rwabugiri na nyie member wengine wa JF nini mtafanya kuisaidia Tanzania,mbali na kusema 'ni shamba la bibi' au 'tulijua tu yatatokea kwa hao wahindi' n.k...
 
Wakina Kahinda, Masaki,Rwabugiri na nyie member wengine wa JF nini mtafanya kuisaidia Tanzania,mbali na kusema 'ni shamba la bibi' au 'tulijua tu yatatokea kwa hao wahindi' n.k...


suala la wahindi wa TRL kutoroshea pesa kwao sio siri.....kwani walipoingia tu pale kazi yao ya kwanza kufanya ilikuwa ni kuhamisha akaunti ya shirika toka NBC SAMORA kwenda BANK OF BARODA.......ambako wanaweza kuhamisha pesa bila kuulizwa na chura yeyote ....

pamoja na hali ya shirika kuwa tete inaelezewa kuwa mapato yatokanayo na gari ya mizigo tu peke yake yanatosha kuendesha shirika .....wateja wa mizigo wanalipa upfront....hata utawala wa waswahili wakati wa mpito kusubiri muwekezaji huuyu uliweza kuendesha shirika kwa kutegemea pesa za gari la mizigo....ya bara,rwanda ,burundi,congo etc.....na wala walikuwa hawapewi ruzuku kwa kiasi wanachopewa hawa wahindi....na mkizingatia walikuwa wakilipa watumishi zaidi ya 3,000 mishahara.....leo watumishi wapo 1,000 na pesa zinazoingia zimeongezeka yet wanashindwa kuwalipa mishahara.....

...kuna watanzania wengi wazalendo pale TRL WANGEONGEZEWA watanzania wengine wabunifu na wenye uwezo wa kuyatoa mashirika makaburini kama kina CHARLES KIMEI ...na watu wa aina hiyo ...wala tusingehitaji wawekezaji.....napendekeza TRL tuichukue hata leo....

Lakini watanzania watch this space....PINDA knows this ..na hata rais anajuwa....wahindi waliulizwa ni kiasi gani wanaweza kulipa ...wakataja ...kilichobakia wakakopeshwa mwezi uliopita kujazia viwango stahili.....lakini taarifa za ndani ni kuwa hata hicho kiwango walichoji commit ....hawataweza kulipa....so then....tusubiri tuone....~!!!...

...but its time now jk and his team start recruiting top management ....because anytime things can falll apart......na kwa mapendekezo yangu shirika la reli liendeshwe kwa ubia na serikali ya wajerumani..au makampuni yake...they have all what we need for the devolopment of our railway ...last time walitaka kuingia lakini ..wahindi walitoa rushwa ...and they ended up even not applied...
 
pia the best things na ubia na wajerumani kuendesha reli yetu ...zaidi ya ukweli kuwa waliweza kujenga mtandao wa reli dar-kigoma-tanga-moshi-voi-arusha na mchuchuma -mtwara[ilingolewa baada ya uhuru], ndani ya miaka 7 tu[1900-1907]..

walifuatiwa waingereza ...hawakujenga hata kilometa moja ya reli,tukaja wazawa ..sana sana tulibomoa reli ya mtwara,wakaja wahindi wakataka kubobomoa reli ya tanga -voi-moshi - arusha..madai yao eti ni gharama kuitunza ....na hata hivyo wameidumaza kwani hawapitishi gari huko........

Wajerumani ndio wana master plan ya maendeleo ya reli yetu ....na hata reli ya TAZARA lilikuwa wazo lao wakashindwa kwa ajili ya vita ya 1 ya dunia....[hata hivyo nyerere/kaunda/na mao walitimiza ]....reli ya arusha - musoma ilikuwa kwenye master plan ya wajerumani vile vile ...hadi leo hatujaweza kuijenga....,reli ya dar - bagamoyo pia [kuunganisha bandari na maeneo ya wazo na bagamoyo...ipo kwenye master plan pia pamoja na kuwa kote inakopita kuanzia ubungo ,mbezi na kuendelea kumeshajengwa majumba ...siku wenyewe wakitaka kuijenga watalia watu nadhani!!...so kwa kifupi tukitaka kweli kuendeleza reli yetu ,kiteknelojia na kimkakati ni muhimu kurudi ujerumani kwenye ile kampuni iliyotaka kurudi kuendesha reli hii kwa pamoja na watanzania.....hata kama watatoa ofa ndogo ni bora,afteral wata invest..bila kutegemea mapato ya haraka....tatizo wahindi waliahidi pesa nzuri na rushwa juu...lakini walipopewa shirika hawakuja na chochote zaidi ya vifuko vyao vya rambo..vilivyojaa ndala.....na chupi!!!
 
Pinda awajibike! aliwaruhusu na kuwapa hela za wananchi bila kusimamia uhamishaji.
 
suala la wahindi wa TRL kutoroshea pesa kwao sio siri.....kwani walipoingia tu pale kazi yao ya kwanza kufanya ilikuwa ni kuhamisha akaunti ya shirika toka NBC SAMORA kwenda BANK OF BARODA.......ambako wanaweza kuhamisha pesa bila kuulizwa na chura yeyote ....

pamoja na hali ya shirika kuwa tete inaelezewa kuwa mapato yatokanayo na gari ya mizigo tu peke yake yanatosha kuendesha shirika .....wateja wa mizigo wanalipa upfront....hata utawala wa waswahili wakati wa mpito kusubiri muwekezaji huuyu uliweza kuendesha shirika kwa kutegemea pesa za gari la mizigo....ya bara,rwanda ,burundi,congo etc.....na wala walikuwa hawapewi ruzuku kwa kiasi wanachopewa hawa wahindi....na mkizingatia walikuwa wakilipa watumishi zaidi ya 3,000 mishahara.....leo watumishi wapo 1,000 na pesa zinazoingia zimeongezeka yet wanashindwa kuwalipa mishahara.....

...kuna watanzania wengi wazalendo pale TRL WANGEONGEZEWA watanzania wengine wabunifu na wenye uwezo wa kuyatoa mashirika makaburini kama kina CHARLES KIMEI ...na watu wa aina hiyo ...wala tusingehitaji wawekezaji.....napendekeza TRL tuichukue hata leo....

Lakini watanzania watch this space....PINDA knows this ..na hata rais anajuwa....wahindi waliulizwa ni kiasi gani wanaweza kulipa ...wakataja ...kilichobakia wakakopeshwa mwezi uliopita kujazia viwango stahili.....lakini taarifa za ndani ni kuwa hata hicho kiwango walichoji commit ....hawataweza kulipa....so then....tusubiri tuone....~!!!...

...but its time now jk and his team start recruiting top management ....because anytime things can falll apart......na kwa mapendekezo yangu shirika la reli liendeshwe kwa ubia na serikali ya wajerumani..au makampuni yake...they have all what we need for the devolopment of our railway ...last time walitaka kuingia lakini ..wahindi walitoa rushwa ...and they ended up even not applied...
Phillemon, mi naelewe unayosema na siyo siri yanaumiza sana,anyway mi challenge yangu kwako na kwenu JF , ni vipi tutafanya kitu out of this, ikiwezeka kiwe tangible, yaani mchango wetu ni upi au nini tunaweza kufanya kwa taifa letu hili lililo oza, au tutabaki kuongelea hapa , na kuishia hapa tuu?
 
Mwanzoni nilifikiri viongozi wetu ni mazezeta lakini nimeshaurika kubadili mawazo na naamini viongozi wetu ni majambazi. tuamke tuache kulala usingizi kulinda maslahi ya watoto wetu.
 
Hivi nyie wa danganyika aliyewaambia kuwa viongozi wa nchi hii wanajali ni nani?

Kiongozi aliyenunua kura hawezi kula na kumtunza mpiga kura wake, maana ameshalipia kabla kura yake.
 
Cha kusikitisha ni kuwa hata serikali yetu haiwaamini hawa wahindi wa TRL lakini sijui kwanini waliwapa kuliendesha hili shirika. Nasema serikali haiwaamini kwa sababu hivi majuzi walipotaka kukopa mabilioni kutoka WB serikali ilishtuka ikasema pesa hizo ni nyingi sana ni lazima zipitie mikononi mwa serikali.
Mkuu, si kama hawawaamini. Huo mkopo ulikatazwa kupitia huko moja kwa moja kwa sababu kuna watu au mtu serikalini alishagundua kuwa ukipita huko hatopata (hawatopata) mgawo ndio maana wakaweka nguvu. Si kwamba wanaipenda nchi au hawaamini wahindi, wanayafikiria matumbo yao kwanza
 
Yes taarifa nilizozipata muda si mrefu ni kwamba wakurugenzi wa TRL yaani wale wahindi wapo kwa mkataba wa muda mfupi.Hivyo mtoa taarifa kaniambia kuwa hawa jama wa na Account ambay mkurugenzi wa fedha ndo mwenye dhamana ya kudraw and kuitunza lakini chanzo cha hela hizo ikiwa ni mapato ya TRL na zile zinazotolewa na serikali.

Hivyo Huyo mkugenzi wa fedha alipomaliza mkataba wake akajifanya anaeinda kuchukuwa vipuli huko kwao india ndo akdraw hela zote kwenye ile confidential account na kutimkia huko.

Hizo nd taarifa nilizozipata wakuu.
Wana JF mlioko Dar nendeni pale Algeria street kwenye office zao kama Chauddery (MD) Bishit, Kadamsingh na Khosla hawapo basi tumekwisha! hao ndo walikuwa wamebaki kama maboya
 
Back
Top Bottom