Sunshine OLD
Member
- Jul 17, 2008
- 51
- 9
Bwana Kikahe jina sahihi ni massage parlour sio saloon wala salon,nitakutajia baadhi za bei nafuu manake kuna za mpaka laki.
1.Soft touch-Makumbusho kituoni 15,000/-chumba cha kawaida,25,000/-unawekewa sinema na kuoga(self contained),35,000/-unafanyiwa massage ndani ya jacuzzi.
2.Miriam-Victoria nyuma ya knight support 20,000/-
3.Revonia na Libra-TXmarket k'ndoni 15,000/-
4.Equal-manyanya k'ndoni 15,000/-
5.Magic-namanga 20,000/- ukitaka sauna baada ya massage unaongeza 5,000/-
6.Lisa-regent mkabala na Zantel utaona bango 20,000/-,sauna +5,000/-
7.Full dose-upanga karibu na Diamond 15,000/-
8.BMK-15,000/-
9.Lily-nyuma ya bestbite 20,000/-
Massage zote hizi ni za saa nzima na kuna 'hard' ya lotion au oil kuondoa maumivu,stress na tention,na 'soft' ya poda hii ni relaxation na sensual massage.Kwa maelezo kuhusu huduma za ziada tuma PM(kina fidel80,masanilo,yoyo hahaha!) sitaki kuharibu biashara za watu.
Kwa wale ambao pesa sio tatizo jaribuni kwa Mercy G-town centre karibu na hindu mandal 50,000/-.Massage zote hizi ni za wamatumbi wenzetu sijataja za wachina au mahoteli makubwa.
To add to the list;
10: The Touch Spa - at Touch Lane - Masaki - Philipinos
11: Radiant Health - at Touch Lane - Masaki - Adv. Mkono's residence
12: Thai Massage - just b4 Village Supermarket Masaki
13: and many more in Masaki area