Wanawake Hawapendi nini?

Hivi jamani tuwe wa kweli saazingine, mfano unakutana na mkasa kama huu...unakuta mke kajitolea kweli kwa mme kwa upendo wake wote. Siku ya siku mke kazi ikaisha akawa hana kipato...then badala hata ya mumewe kumjali au kushare naye anachopata pengine anapata mashahara wa 300,000 kumpa mkwewe hata 10,000 akajinunulie mafuta inakuwa shida, na hapo hapo anaspend unwisely hizo pesa (kwenye pombe, kununulia pengine gari n.k) hivi hata kama mke alikuwa na mapenzi ya kweli hapo kutakuwa namapenzi kweli?

Pretty, kununua gari kumbe is so 'unwise'...
 
TYPE OF SUPRISE FOR ENGEGEMENT RING
Salamu waheshimiwa na wachangia hoja katika JAMII FORUM na kwingineko.
Kwa kifupi nategemea kumvisha mchumba wangu pete ya uchumba hivi karibu kwa hiyo naomba mnisaidie hizo aina/tendo hilo kwa ajili ya kumfanya na yeye ashangazwe na hilo jambo maana si wote huwa wanavalishwa pete ya uchumba.
Nawashukuru sana na nnamategemeo mtanisaidia kwa hilo

Sasa ndiyo nini hivyo!msaada tutani au? acha hizo mkubwa anzisha thread yako, acha kudandia za wenzako!
 
Hivi jamani tuwe wa kweli saazingine,.................................... kumpa mkewe hata 10,000 akajinunulie mafuta inakuwa shida, na hapo hapo anaspend unwisely hizo pesa (kwenye pombe, kununulia pengine gari n.k) hivi hata kama mke alikuwa na mapenzi ya kweli hapo kutakuwa namapenzi kweli?

Penny,
Hivi kumbe mwanamke anathamini mafuta ya kujipaka kuliko gari la familia?
 
Hivi jamani tuwe wa kweli saazingine, mfano unakutana na mkasa kama huu...unakuta mke kajitolea kweli kwa mme kwa upendo wake wote. Siku ya siku mke kazi ikaisha akawa hana kipato...then badala hata ya mumewe kumjali au kushare naye anachopata pengine anapata mashahara wa 300,000 kumpa mkwewe hata 10,000 akajinunulie mafuta inakuwa shida, na hapo hapo anaspend unwisely hizo pesa (kwenye pombe, kununulia pengine gari n.k) hivi hata kama mke alikuwa na mapenzi ya kweli hapo kutakuwa namapenzi kweli?

Labda wanawake wa zamani hizo c wasasa, atapata walimu watamfundisha ujanja ukijashtuka mwana c wako tena.....
 
hil nalo neno mana inaweza kuwa haki yako na bado mwanamke anataka umbembeleze ndo akupe!
waswahili wanakwambia mtaka cha uvunguni...............................!
ha ha ha ha ha!
 
Hawapendi ujuane na wanawake walio na elimu chini yao ambao wanalipa zaidi yao kimvuto na tabia.
 
Penny,
Hivi kumbe mwanamke anathamini mafuta ya kujipaka kuliko gari la familia?
Hujanielewa ndugu, na maanisha yani hamjali mkewe na kumthani then unakuta hiyo pesa niseme pengine analewa tuu. Noana sasa utakuwa umenipata naona mfano nilioutoa ulikuwa tufauti kidogo.
 
Wanachukia sana nyumba ndogo zinawapiku kila kitu...

...nikiongeza msisitizo, tatizo wanalolichukia kutokana na nyumba ndogo ni pamoja na;

1. mwanaume kusahau majukumu yake kwa familia
2. mashaka ya maradhi ya kuambukiza
3. mtoto/watoto wa nje ya ndoa
4. ugomvi wa mirathi na haki za mama na watoto pindi mume akifariki.

...kazi na dawa :D inachekesha lakini ndio ukweli wenyewe;

[ame="http://www.youtube.com/watch?v=d_B636opk9g&feature=related"]YouTube - Broadcast Yourself.[/ame]​
 
Hujanielewa ndugu, na maanisha yani hamjali mkewe na kumthani then unakuta hiyo pesa niseme pengine analewa tuu. Noana sasa utakuwa umenipata naona mfano nilioutoa ulikuwa tufauti kidogo.

Nimekuelewa mheshimiwa.
 
Wanawake hatupendi WANAUME wenye kusafiri safiri sana.
Hatupendi kabisa.

hehehe si mtakuwa mnasafiri wote.
Nimeona madereva wa malori makubwa wanasafiri na mabibi zao pembeni akijisikia hamu anaweka kushoto mchuma anajipendelea.
 
hehehe si mtakuwa mnasafiri wote.
Nimeona madereva wa malori makubwa wanasafiri na mabibi zao pembeni akijisikia hamu anaweka kushoto mchuma anajipendelea.

OOOOOH!
Hao wanaosafiri nao si wake zao,
Hao wanaitwa Briefcase.
Huchukuliwa tu siku za safari.
Wake zao wako home wakitunza watoto.
Uliza uambiwe.
 
Wanawake tunapendwa "kupendwa", kuheshimiwa, mwanamme ukija nyumbani ule chakula cha nyumbani, unipe password ya bank account, tukiwa kwenye gari tuwe tunacheka sio unanuna kama umekamuliwa jipu, na mwisho kabisa uhakikishe kwamba tunapokuwa kwenye kipindi cha shughuli uwe una utundu wa "click" command ambazo ni active
 
Wanawake tunapendwa "kupendwa", kuheshimiwa, mwanamme ukija nyumbani ule chakula cha nyumbani, unipe password ya bank account, tukiwa kwenye gari tuwe tunacheka sio unanuna kama umekamuliwa jipu, na mwisho kabisa uhakikishe kwamba tunapokuwa kwenye kipindi cha shughuli uwe una utundu wa "click" command ambazo ni active

Haya ndo manjonjo sawia.
Wnaume mpo?
 
FIDEl,
sikuwa nimeiona hii,
Wanawake tunapenda MAPENZI KULIKO PESA.
Pesa huja baadae saana.

Mhh!kweli Idda?
Mi nipo single wewe je? Naona wewe unafaa kwenye swala hili. Ukizingatia mi choka mbaya warembo wazuri iwa naogopa hata kuwasogelea.
 
Wanawake tunapendwa "kupendwa", kuheshimiwa, mwanamme ukija nyumbani ule chakula cha nyumbani, unipe password ya bank account, tukiwa kwenye gari tuwe tunacheka sio unanuna kama umekamuliwa jipu, na mwisho kabisa uhakikishe kwamba tunapokuwa kwenye kipindi cha shughuli uwe una utundu wa "click" command ambazo ni active

Huku ndo kuchunwa sasa......nimeona mwanamke anamchuna hata mmewe mmmh!
 
Back
Top Bottom