Yah hata NCCR
MAGEUZI ya MREMA NA MABERE MARANDO NA CUF ya LIPUMBA NA SEIF ILIKUAGA
HIVI HIVI..
kuna tofaouti kubwa sana ya enzi ya mwl na sasa itambulike sasa ukombozi wa mtanzania ni CHADEMA
Kifai: Usiombe mjaluo akawa ndiye bosi wa shirika au kampuni atawapendelea wajaluo wenzake wazi wazi pia hata "staff" wake wengi watakuwa ni wajaluo mpaka mfanya usafi.
nafikiri hakuna haja ya kuingiza udini hapa tujadili hoja muhimu kwa faida ya taifa achana na habari kijinga za utengano hii ni upeo hafifu na elimu duni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.