TBC1 Wameenda Kenya Kulipana Perdiem?

Michael Scofield

JF-Expert Member
Jul 30, 2011
1,225
471
Tangu kituo cha utangazaji Tanzania TBC1 kiingie nchini kenya, Sijaona taarifa yoyote ya maana, kwani habari zao haziko up-todate na kama zikiwa "live" Basi huyo Marin Hassan anakoroma tu.

Si bora wangebaki hapa kukopy na kupaste kupitia Citizen au K24 Kuliko kuunguza pesa za walipa kodi, Badala kuitumia hela katika kuboresha matangazo yao, wao wanaikaanga katika matumizi yao huku huduma wanayoitoa haifanani nayo.

Muda huu tunapata matangazo "live" hapa, wao wako bize kuonyesha mambo ya kuweka na kukopa, ya tangu mwaka juzi.
 
Tbc ni tv ya ajabu sana huwa wanashindwa kuonyesha matokeo ya ndani ya nchi wanafuata ya jirani. Tuiiteje tv hii.
 
magumashi tv. tido alikuwa mwisho wa mambo yote pale lkn walimtimua. tbc nyumbani kwangu siangalii kabisa. ninatumia startime kupata access ya tv's nyingine but not tbccm.
 
Njaa tu inakusumbua, kwa hesabu zako hiyo perdiem ya siku 3 unafikiri inaweza kufika Tsh ngapi?
 
Mi nashangaa hata ule uchaguzi wa Marekani, Suzan Mungi huwa anajipigia pande kwenda, wakati picha wanazoonyesha zimerekodiwa CNN au BBC. Sa kuna umuhimu gani wa kujilipa kodi zetu wakati wangeweza kurekodi hapahapa?
 
Mi nashangaa hata ule uchaguzi wa Marekani, Suzan Mungi huwa anajipigia pande kwenda, wakati picha wanazoonyesha zimerekodiwa CNN au BBC. Sa kuna umuhimu gani wa kujilipa kodi zetu wakati wangeweza kurekodi hapahapa?
wakati uchaguzi wa hapa kwetu hawaonyeshi
 
Hakuna cha njaa wala nini Tbc iliweka kambi toka muda ila wewe ni punguani na mjinga wa upeo

Katika hili punguani unaweza kuwa ni wewe ambae huoni kabisa kuwa kuna kitu watanzania wamejifunza kupitia TBC, kumbuka TBC inapatikana kwenye kila king'amuzi bila malipo yeyote, imesaidia wale ambao hawawezi kuangalia channel kama Citizen ambazo zinalipiwa
 
Back
Top Bottom