Mkuu kwani umesahau kuwa ukiinyooshea Siri Kali kidole wanakimbilia kuchungulia kwenye Profile yako, nafikiri ndio maana Wabunge wote wenye Uraia wakwenye makalatasi wameuchuna wasije wakaitwa Tumbili Weupe.
Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni. Kwa hili sakata lilivyokuwa na mgongano mkubwa wa kimasilahi hapa madam spika amekuwa balanced kwa manufaa ya uma zaidi.
Waugwana na hii ya kumfikiria mtu au kitu chochote na baada ya muda mfupi ukakiona au ukamwona huyo mtu uliyekuwa unamfikiria, hiyi nayo imekaaje? Msaada tafadhari kwa anayejua utafafanulie.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.