na ukiwa makini isichafuke basi utachafuka wewe
mambo yako hayatoenda Kwa wakati kamwe.
kuchafuka Kwa payslip ndio kusafishika kwako... la msingi ukishajua umeichafua payslip hakikisha unakua makini na we usichafuke
yah ndio shida na ndio maana utajiri wao hauna burudani..... Hali vizuuri Hana gari Kali... watoto hawaendelez Mali.
yaani vurugu tu.
utajiri mzuri ni wa kibiashara halali, siasa, shule...
unaenjoy saana majumba, biashara magari makali
huyu Ottawa ni nyoko ana basi scania km 100 afu kazipaki mwaka wa 8 huu kakodi madereva wazipasha na kuziacha Kila siku sa sijui pesa za kiganga au shida nini...
mamamae... ni one man army... sio kampuni Wala colabo.
mwaka 2016 alikua ni mfanyabiashara pekee nyanda za juu Ambae alikua ana...
Kwa Hali zetu za maisha walau ubora Kwa pesa chache
tv Hisense na Samsung.
fridge homebase , Hisense
AC gree, sanyo, midea, Samsung.
simu Infinix
pasi Phillips.
home theater Sony.
aah aah sio wa TiSS wetu utoe taarifa ya kiongozi badala waifanyie kazi watakuja kukubananisha wakuulize we umetoa wapi taarifa mara unachafua viongozi watakupa kesi kibao mwisho wa siku utahitajika kuisaidia polisi ....
tupo local saana hii Nchi taaluma inaingiliwa na siasa , recruit ya...
aah aah ghorofa haijengwi Kwa pesa ya kusikilizia....
mara ya kwanza naona ghorofa ya jiran yangu inajengwa nilichanganyikiwa saana mikuchu ilivyokua inapotea.... naenda now maduka ya ujenzi ananunua vitu vya million 300 vinamalizika ndani ya siku 3 tu ..... aisee
ujenzi ni nyoko.
tulibeba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.