Mbute na chai
JF-Expert Member
- Jul 21, 2012
- 532
- 529
Pia fahamu kuwa jimbo ni eneo la uchaguzi siyo utawala. Hivyo kata inaweza kuwa na jimbo zaidi ya moja. Kata ni sehemu ya utawala baada ya shaia/kitongoji, mtaa/kijiji. Hivyo jimbo na kata ni vitu viwili tofauti.Gongo la Mboto kwa Mbagala ni sawa na Chamazi hadi Mbande.
Mbagala ni Jimbo wakati Gongo la Mboto ni Kata.
Baada ya kumegwa kutoka Kigamboni na kuanzishwa Jimbo la Mbagala, Jimbo la Mbagala lilikuwa kwenye plan ya kumegwa kuanzisha Jimbo lingine.
Sasa hivi Mbagala huenda ikawa inafukuzia kwenda kuwa Wilaya.
Miaka mitano iliyopita Mbagala ilikuwa na wakaazi milioni moja na ushee.