Habari wataalamu,
Nina tatizo lina nisumbua kwenye gari yangu grande mark2 (gx110) na linaninyima raha kwakweli, wakati wa kutoka P kwenda D na R nasikia mkito unasikika sehemu ya nyuma, nilipeleka kwa fundi akabadili bushing zote za nyuma na CV joint (cross joint) pembeni ya diff lakini tatizo nalisikia bado, na mounting zilichekiwa ziko vizuri shida ni nini naomba msaada wenu note, nikiwa nimeanza mwendo sisikii chochote natembea vizuri tu
Nina tatizo lina nisumbua kwenye gari yangu grande mark2 (gx110) na linaninyima raha kwakweli, wakati wa kutoka P kwenda D na R nasikia mkito unasikika sehemu ya nyuma, nilipeleka kwa fundi akabadili bushing zote za nyuma na CV joint (cross joint) pembeni ya diff lakini tatizo nalisikia bado, na mounting zilichekiwa ziko vizuri shida ni nini naomba msaada wenu note, nikiwa nimeanza mwendo sisikii chochote natembea vizuri tu