Recent content by oko majimaji

  1. oko majimaji

    JamiiForums Tanzania KERO Wachina wa Global Aluminium Ltd cha Kibaha – Zogowale wananyanyasa wafanyakazi wao

    Mshahara 200k? Kwa wiki au kwa Mwezi? Kama ni kwa mwezi huo ni unyonyaji uliopitiliza aisee.
  2. oko majimaji

    JamiiForums Tanzania Viwanja Viwili Vinauzwa Kibaha Maili Moja

    Hawa madalali wanaishusha sana thamani hii hela yetu.
  3. oko majimaji

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Huyu ni mke wa mtu na yuko tayari kuniuzia.

  4. oko majimaji

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Dar kumeongezeka sherehe za wakina dada kuwaalika mashoga

    Washakuvunja hata kichurachura huruki
  5. oko majimaji

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Dar kumeongezeka sherehe za wakina dada kuwaalika mashoga

    Wewe utakua bwabwa sio bure.
  6. oko majimaji

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimelidondosha Bumunda jingine leo. Sitaki ujinga

    Naijua hioo😂😂
  7. oko majimaji

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ndoa na kazi ipi bora?

    Umemjibu vizuri huyo cha upepo sidhani kama atarud tena na assumption zake.
  8. oko majimaji

    JamiiForums Tanzania Napauka mno kipindi hiki, nitumie nini?

    mwanaume unataka uwe softy. Ndio maana wengi wanavunjwa.
  9. oko majimaji

    JamiiForums Tanzania Kuna dogo kashinda Millioni 58 kwa kubeti. Mnashauri nini?

    Yani unaomba maoni wewe kwenye hela za mwenzako hii kali.
  10. oko majimaji

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kuanzia tarehe 19 Julai, "She will lose total control of Her Government"

    Punguza chuki kikwete alikua raisi poa sana.
  11. oko majimaji

    JamiiForums Tanzania Hizi tabia za wanawake za Kizaramo ni za kweli?

    Kwa kizazi cha sasa ivi cha 2000 hapo hakuna cha kabila malezi tu na mazingira yanayowazunguka ndio shida inapoanzia.
  12. oko majimaji

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hakuna kitu kinachoniuma kama kuitwa mzee

  13. oko majimaji

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Imekuwaje mpaka PSG ameruhusiwa kutengeneza timu iliyokamilika namna hii?

    Psg walianza kunishakangaz ile mechi ya kwanza na liverpool, japokua liverpool alishinda 1-0 ila alipigiwa mpira mpaka nikasema mechi ya pili liver atoboi na ilikua hivyo kweli.
  14. oko majimaji

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Pamoja na Clatous Chama juzi tu 'Kuinanga' na 'Kuikoga' Simba SC baada ya Yanga SC kubeba Vikombe lukuki, ila Ndoa yake na Yanga SC imeisha rasmi

    Ndoa ilikua lazima ivunjike mshara anaokula ni mkubwa kuliko anachochangia kwenye timu.
Back
Top Bottom