Almost local company zote zinazo deal na security ndio ujinga wake huo, nliwahi kua manager kampuni moja inaitwa nyangumi mhhh nlikua nagombana kila siku na mkurugenzi , yeye anaangalia maslahi yake tu watu wanafamilia na hajali mshahara anawap nusu nusu na muhasibu apigi yowe.
Wakuu naombeni kuuliza maana sielewi naonaa watu wanatafuta kazi kibao kwa vitengo tofautii ila cha ajabu uandishi wa habari nimeona Thread moja tu.....
Sasa naomba kujuzwa uandishi wa habari hauna market ama vipiii???
Na ni level ipi ya elimu yuko in fire [emoji91] kupata ajira ya uhakika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.