Quika security service

Hajihamza

New Member
Aug 8, 2018
1
0
Ndugu zangu wana Jf,,,hasa wale wenzngu walio na nia ya kuingia kwnye makampuni ya ulinzi
Kuna hii kampuni inaitwa quika security,, makao makuu yake yapo ilala bungoni,,hii kampuni sio ya kuingia kabisa,,kampuni moja mbovu sana kuanzia menejiment ya askari hadi kazini,,

.mshahara una variation kila unapoamishwa lindo,, kuna 120k ,,130k,,150

.kushuka kwa mshahara ni jambo la kawaida bila askari kuhusishwa directly

.hakuna mkataba wa kazi,hivyo haki zako zote hupewi ng'o
.hakuna cha OT,PH, mfuko wowote wa jamii,,PAYE wala ongezeko lolote lile nje ya mshahara

.halijali askari wake ikiwa ni pamoja na kucheleweshwa kwa mshahara, makato yasiyo ya lazima kama vile ugonjwa au kufiwa

.Hakuna off day ata Siku moja mpka unaacha kazi,

N.B nawashauri wale wenye nia ya kuingia hizi kampuni,, epuka kuingia quika security,, utakuja kuumia kazi ngumu pesa kidogo,
 
Almost local company zote zinazo deal na security ndio ujinga wake huo, nliwahi kua manager kampuni moja inaitwa nyangumi mhhh nlikua nagombana kila siku na mkurugenzi , yeye anaangalia maslahi yake tu watu wanafamilia na hajali mshahara anawap nusu nusu na muhasibu apigi yowe.
 
Kama umedhulumiwa haki zako fungua kesi CMA weka mwanasheria. Haki haipotei ila huchelewa tu.
 
Kwa takribani karibu miaka miwili na nusu nimekua katika hizi PRIVATE SECURITY COMPANY INDUSTRY HAPA TANZANIA (LOCAL PRIVATE SECURITY COMPANY)
katika umri wangu huu mdogo na bila uzoufu wa PRIVATE SECURITY COMPANY Niliaminiwa na sijawai kuwaangusha ki utendaji Hata siku moja walio niamini na ndo kwanzaa nilikua nimemaliza chuo kikuu na kukaa mtaani mwaka mmoja nikisaka kazi bila mafanikio yoyote...... Nime hudumu katika ngazi ya MANAGEMENT & ADMINISTRATION.

Kwa kawaida kwenye hizi LOCAL COMPANY hakunaga mshahara kila mwisho wa mwezi, mshahara hulipwa tarehe 10-20 ya mwezi unaofuataa

Poor working conditions.....Hakunaga off,overtime watu huwa wana double na hawapewi pesa zao za kudouble

Kuna mwalimu wangu mmoja alikua anapenda kutuambia "under determination one can turn a desert into evergreen forest" mshahara kwa normal guards ni laki moja net... ila kuna madogo nimewaona kwa macho wamepata mitaji na kuanzishaa biashara zao....kupitia hizi hizi kampuni


kampuni niliyo kua nafanya kazi ilikua inajitahidi sanaa kuboresha mazingira yake ya kazi Nashukuru sana hii kazi imenilea..imenitunza....imenipa exposure....


Kuna mambo mengi na ya ajabu ajabu sanaaa kwnye hii INDUSTRY naishia hapo OVER!!!!

Kuna siku nilienda kumfanyia Vetting mzee mmoja kwa wadhamini wake kama utaratibu wa kampuni yetu ulivyokua unatakaa...Huyu mzee alidhaminiwa na wadhamini wawili mmoja ni mwanajeshi mstaafu....tukaongozana mpka kwa huyu mjeshi nikafanya uthibitisho wangu kama kampuni ilivyo niagiza

wapili ni mzee mmoja ana dispensary yake hope ni C.O mstaafu..Huyu C.O Mstaafu ulipo maliza maongezi ya kumdhamini yule mzee....
Akaniambia kijanaa Nikupe kazi...nikaitika ndio.... Nakupa kazi mbili ...... ya kwanza Nenda shule ukasomee (Huyu mzee Hakuwa anajua kama mimi ni Degree holder na wala sikumwambia na huwa siwaambii watu)

Kazi ya pili aliniuliza kwenu wapi.... nikataja mtaa ninapoishi...aka uliza tena kwenu wapi akiwa anamaanishaa chimbuko letu.... nikataja akanambia NENDA KIJIJINI KWENU KAPANDE MITI KWA UMRI WAKO HUU MITI HIYO ITAKUTUNZAAA nili itika ndio hakika aliniachia mafumbo yule mzee


Hii industry ma owner wanapiga pesaaaa.....
 
Back
Top Bottom