Recent content by Obiioo

  1. O

    Je, kuna upuuzi wowote uliwahi kufanyiwa na taasisi yoyote ile?

    Alikuwa o level yule chalii wakati sisi tupo advance alikuwa waziri mkuu sio
  2. O

    Waliojiunga (waliofanya maombi) ya huduma ya "Tigo Business"

    Ni PM nikuletee wifi na kukupatia ofa ya gb 40 hapohapo nakuletea popote ulipo kwa dar,price ya wireless ni 49900
  3. O

    DOKEZO Abiria wa Basi la Shabiby tulalamikia huduma mbovu za hoteli Morogoro tunaomba mbadilishe haraka hoteli

    Waige KlM elfu saba unakula kiepe mbuzi na unakaa muda mrefu hadi unaridhika mteja na unaendelea na safari Hili swala la kulia ndani ya basi wengine sio wazoefu kabisa,weka kiepe nyama choma ya kushiba 7000,kiepe nyama choma ya mbuzi 8000 na abiria wawape dk 30
  4. O

    Kila nikilala nae tu, kesho yake napigiwa simu ya dili la hela

    Huyu deborah anaongea kinoma au ila mpambanajii kinoma
  5. O

    Ratiba ya CAF na Ligi Kuu

    Jifunze kwanza kuandika
  6. O

    Arumeru: Wandishi wa habari wapigwa mawe na mizimu na kutimka mbio. Mawe hayajulikani yanatoka wapi. Yanamwagika kama mvua

    Wameru silaa yao ni mawe mi lisoma makumira sec kuna kamto tulikuwa tunaenda kuoga gafla unashangaa mawe hujui hata yametokea wapi,walikuwa hawataki tuoge kwenye ule mto
  7. O

    Leo nimeelewa ni kwanini watu huwafanyia wezi ukatili

    Tupe maujanja mkuu yakutokupoteza
  8. O

    Changamoto gani nitapata nikinunua Till ya M pesa kwa mtu?

    Kama mtu mnafahamiana haina shida kabisa ila utabidi baada ya miezi kadhaa muuende wote kubadilisha usajili ili uwe mmiliki halali Itabidi uwe na vitu vifuatavo ili kumiliki kihalali 1)leseni ya biashara 2)TIn no 3)nida namba au kitambulisho Nb:ili kubadili umiliki huo inabidi muende kwa...
  9. O

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Jina:obby Eneo:saku Wilaya:temeke Tatizo:umeme huku kila siku unakatika kama kuna mgao mnasema watu tuwe tunajiandaa,unakatika masaa 2 hadi masaa 3 mtakuja kutuunguzia vitu vyetu,halafu kipindi cha marehemu ulikuwa umeme wa uhakika shida ninii wakuu
  10. O

    Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

    Chamazi saku umeme kila siku wakatwaa jana nimemsikiliza mbunge wetu mmehamisha MEGawatt sijui sasa kweli sisi vinyozi tutaishijee aisee
  11. O

    Unawezaje kutambua kuwa ni mchawi?

    Naomba na mimi nisaidie kwenye hiliii 1/kuna siku nimekaa baa moja pale zakheem mbele yangu amekaa jamaa moja mimii nikawa naona ndani ya shati kuna vitu vinamtembea kama nyoka,nikamkazia macho akasimama akenda chooni nikamuuliza jirani yake akasema haoni kurudi akaniita nikasimama nikaondoka...
  12. O

    Basi gani linafika mapema kwa safari ya Dar es Salaam - Mwanza

    Nilipanda tanzanite ya kutoka kahama pale kibaigwa mida ya saa kumi saa mbili na nusu nikawa dar linatembea lile dubwasha aisee[emoji1430]
  13. O

    Lemutuz kavuta jiko, mtoto mkali yaani Kim Kardashian huyu hapa kabisa

    Huyu jamaa mshamba kinoma hapendi kuuambiwa ukweli,ukimwambia ukweli ana kublock anajiona mungu mtu mwili mkubwa akili kisoda Sa hivii kaacha kumpamba field marshal wake makonda hana tofauti na chawa wengine mda si mrefu ataanza kumsifia vunjabei kama wakina aristote ili aishii
  14. O

    Yuko wapi yule dereva "Giriki" wa basi la Tawaqal?

    Dodoma -mbeya kuna basi lilikuwa linaitwa URAFIKI huyu mh simbachawene alikuwa kondakta wa hilo basi balaa lake sio poa nakumbuka lilituacha comfort tukapanda matema mabichi ngoma imefukuzwa tumeikuta mbeya imetulia [emoji1430]
Back
Top Bottom