Kumbuka mama chama chetu kinawashabiki wengi ni wamachinga na bodaboda.

Hata mamluki Lowassa alipata kura nyingi zetu wamachinga na bodaboda.

Chama chetu kimeleta biashara kwenye kadi wakati hatuna pesa. Ili kutusaidia ruhusu mzunguko wa pesa na tuweze kununua kadi kwa sh 2500.
Kamanda uliyechoka,ujenzi wa chama hufanywa na wanachama wenyewe,na wenye moyo na wapenda haki na uhuru wa kweli.Na sii mamluki.
 
Ndugu mteja,
Pole sana kwa changamoto unaopata. Je tunaweza kujua eneo lako, wilaya na mkoa wako kwa ajilinya ufuatiliaji. Pia tutashukuru sana kupata mrejesho
Mmefanya vema kuja kusikiliza kero hapa na mjitahidi mzifanyie kazi
Huku Kigamboni kila siku lazima Umeme ukatwe
 
Kumbuka mama chama chetu kinawashabiki wengi ni wamachinga na bodaboda.

Hata mamluki Lowassa alipata kura nyingi zetu wamachinga na bodaboda.

Chama chetu kimeleta biashara kwenye kadi wakati hatuna pesa. Ili kutusaidia ruhusu mzunguko wa pesa na tuweze kununua kadi kwa sh 2500.
Duuuh, nawahi kiti cha mbele,
 
Mjuba alikaba wafanyabiashara pesa zikaelekezwa kwenye miundombinu.

Kazi ya mama ilikiwa ndogo sana, kushikilia pale pale, ila matumizi yawe tofauti,impact ilikuwa within a week.

Lakini kosa la kwanza lilikuwa kuamini wafanyabiashara sio watu wa kuwacommand.
Kosa kubwa mno last two months makusanyo 350+bln from 1.3tln ngoja ademke akiamka atamkopa Manji na Rostam mishahara.
 
Kumbuka mama chama chetu kinawashabiki wengi ni wamachinga na bodaboda.

Hata mamluki Lowassa alipata kura nyingi zetu wamachinga na bodaboda.

Chama chetu kimeleta biashara kwenye kadi wakati hatuna pesa. Ili kutusaidia ruhusu mzunguko wa pesa na tuweze kununua kadi kwa sh 2500.
watu wanasubiri kuona mzunguko wa pesa.
 
Kwamba yeye ni mpenda haki.

Haki na uongozi vinakwenda sehemu moja, ila haviambatani.
Hata nchi ziliendelea na kustaarabika wanawabana wafanyabiashara sio kuwabembeleza. Hakuna mfanyabiashara wa kiafrika atakuwa proud kulipa kodi kwa hiyari never. Kujifanya mwema na mjanja wa mjini ...ni swala la muda tu majibu yapo mkononi.
 
Binafsi nimetokea kulichukia hili shirika ,,,kutokana na watendaji wake,,Tarehe 20Apr2021,,nilinunua umeme kwa njia ya Nmb mobile nakupa token ,,kutokana na kiwango cha fedha yangu,,,niliingiza Token nilizopewa ,,,lakn haikuaccept karibu kwa muda wa siku nzima,,,maandishi yaliyokuwa yanajitokeza ni Error 77,,,ndipo nikawapigia TANESCO Emergency,,Chanika nao wakanifungulia TB,,,(Taarifa binafsi)tarehe 26Apr2021,,,wakaja mafundi na hapo ni baada ya kupiga simu sana,wakaniambia kile kiremote nikipeleke Chanika TANESCO,,nitapewa maelekezo huko,Trh27 Apr 2021 nikaenda nikaonana na customer care wakanieleza niingie ofisi ya Engineer.akakiona na kunipeleka kwa muhasiba ,,,eti nilipie 133,097/= kwa kuwa kirimoti kimeharibika ,,,,sikuwa na hiyana ,,nikapewa control number ,,na kulipia kiwango hicho,,,,,,baada ya kulipia nikawapelekea risit,,na kuambia system imeonyesha nimeshalipia hivo nisubiri ndani ya wki moja TANESCO watakuja kuondoa metre ya zamani na kuweka mpya maana ile ya hakuna rimot mbadala,,,.nimesubir toka kipnd hicho cha wiki moja kimeisha,,hakuna fund aliyekuja ,,,nimepiga simu mpaka nimechoka jibu nalopewa TANESCO Emergency,,,wapo njiani watanipitia,,,,Trh 24May nikafunga safar had TANESCO kuwauliza kulikoni mbona sihudumiwi,,,nikaambiwa ,,,nifungue Taarifa upya ,,,maana Hawana metre mpya kuja kunifungia,,hivyo watakuja kukata mfuniko wa metre ya zamani nami nitapata huduma ,,,ivo ndani ya masaa24 watakuwa wamenifikia,,masaaa 24 yamepita hamna huduma ,,nimepiga simu emergency majibu yao ni hayo hayo,,nimewasiliana na Boss wao anaitwa salvatory majibu yake ni yale yale eti watakuja ,,wanataarifa zangu,,jana tarehe 1jun napigiwa simu saa moja jioni,,na emergency ,,niwaelekeze kwangu mewaelekeza lakn hawakutokea,,,nimewapigia simu.kuwauliza kulikoni ,,,,naletewa tu ngonjera,,,,kiukwel ,,nimetokea kuwachukia mno,,.tukichukua hatua za kuwambia viongozi ngazi za juu mtaona tunawachongea,,,,naomba shirika chukueni hatua kwa watendaji hawa ambao wanalitia madoa shirika,,,waziri wa nishati naomba liangalie hilo swala kwa umakini,,
Mkuu umepata tatizo kama langu, mimi sasa ni mwaka na zaidi, usiulize nawekaje umeme kwenye meter yangu
 
Kongole kwa TANESCO.

Zamani nami nilikuwa kwenye bandwagon ya kulishutumu shirika letu pendwa la TANESCO. Lakini baada ya kuchimbua kidogo, nilibaini, japo si wakamilifu (nani ndiye?) lakini wanajitahidi sana.

Tukumbuke kwamba umeme upo wa ngazi mbili: Ufuaji na Usambazaji. Kazi ya kufua umeme ndio nono. Na ndio "wawekezaji" wote hukimbilia huko. Unaufua umeme, kisha mteja mmoja (TANESCO ) analazimishwa kuununua. Mara nyingi, kwa bei isiyo nyumbufu.

Lakini kazi ya kusambaza ndio kizungumkuti. Miundombinu yote ya umeme kuisambaza mpaka ifike kila kona na chochoro za nchi hii, unadhani ni kazi ndogo? Taasisi gani ya umma iliyoweza kupenya kufika kila mahali TANESCO ilipofika? Na inshu siyo tu kufikisha miundombinu, bali pia ni kuhakikisha miundombinu hiyo inadumu, inabadilishwa pale inapochoka, na kufikiwa inapotokea dharura. Ndio maana "wawekezaji" hawasikiki aslani kutaka kipande cha kusambaza.

Zamani pia nilidhani TANESCO hukata umeme for fun. Kumbe, inapotokea dharura kwenye miundombinu ya usambazaji (nyaya kugusana/nguzo kudondoka/transfoma kupata hitilafu, n.k.), mitambo ya TANESCO hujizima yenyewe automatiki kipande chenye hitilafu mpaka kitakaporekebishwa.

Pana mapungufu mengi bado kwenye shirika la TANESCO, lakini ziangaliwe njia bora za kuyarekebisha. Kwa kuanzia, kuwasikiliza wenyewe wa TANESCO wanashauri nini. Wanasema wanakwama wapi au wanakwamishwa wapi. Kisha kutusikiliza sisi wateja. Hapo itawezekana kuchenjua pumba au mchele wa wapi tatizo liko.
Waruhusu kampuni binafsi uone kama huduma zitabaki kama zilivyo sasa hivi. Angalia shirika la posta na Simu kilichotokea
 
Ndugu mteja,
Pole sana kwa changamoto unaopata. Je tunaweza kujua eneo lako, wilaya na mkoa wako kwa ajilinya ufuatiliaji. Pia tutashukuru sana kupata mrejesho
Arusha
Kata ya Osunyai na Murieti asubuhi ya leo hakuna umeme. Shida ya aina hii ilikuwepo pia jana na juzi
 
Chamazi saku umeme kila siku wakatwaa jana nimemsikiliza mbunge wetu mmehamisha MEGawatt sijui sasa kweli sisi vinyozi tutaishijee aisee
 
Wakuu

Mimi sijawahi kuwa ccm lakini huyu mama she deserve

Kiukweli nakiri mwendazake aliharibu hii nchi huyu mama tumuombee sana tu


Ana dhamira njema kabisa ya kulifufua hili taifa

Nataman huyu mama angekuwepo toka 2015 badala ya mwendazake


Sasa hivi uhuru umerudi yaani sasa hivi hatuishi kwa hofu tena

Mungu mbariki mama yetu
 
Kazi nzur na ndugai akiwa pale
Idodomia?? na sasa kasogezewa mkewe
Karbu
 
Wakuu

Mimi sijawahi kuwa ccm lakini huyu mama she deserve

Kiukweli nakiri mwendazake aliharibu hii nchi huyu mama tumuombee sana tu


Ana dhamira njema kabisa ya kulifufua hili taifa

Nataman huyu mama angekuwepo toka 2015 badala ya mwendazake


Sasa hivi uhuru umerudi yaani sasa hivi hatuishi kwa hofu tena

Mungu mbariki mama yetu
Kwaiyo mkuu na wewe enzi za mwendazake ulikuwa unaishi kwa hofu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu

Mimi sijawahi kuwa ccm lakini huyu mama she deserve

Kiukweli nakiri mwendazake aliharibu hii nchi huyu mama tumuombee sana tu


Ana dhamira njema kabisa ya kulifufua hili taifa

Nataman huyu mama angekuwepo toka 2015 badala ya mwendazake


Sasa hivi uhuru umerudi yaani sasa hivi hatuishi kwa hofu tena

Mungu mbariki mama yetu
POINTLESS
 
Wakuu

Mimi sijawahi kuwa ccm lakini huyu mama she deserve

Kiukweli nakiri mwendazake aliharibu hii nchi huyu mama tumuombee sana tu


Ana dhamira njema kabisa ya kulifufua hili taifa

Nataman huyu mama angekuwepo toka 2015 badala ya mwendazake


Sasa hivi uhuru umerudi yaani sasa hivi hatuishi kwa hofu tena

Mungu mbariki mama yetu
Nyie majizi ndio mnasema nchi uliharibiwa!!?
 
Back
Top Bottom