Recent content by obedy gandye

  1. O

    Baadhi ya wanawake na bikra

    Mazuri mnayo hasa ya uvumilivu. Kiukweli hapo Sir God aliwapa kitu cha msingi sana. So purple usihofu mazuri mnayoooo
  2. O

    Tabia za kuku

    Samahani wadau naomba nisaidieni namna ya kubadili email niliyojiungia kwenye jf tafadhari
  3. O

    Mfumo wa GPA wafutwa na Waziri Ndalichako

    Yaani ndalichako ana kitu kichwani cha msingi sana. GPA hata wazazi walichanganyikiwa mtoto wa sekondari GPA na chuo kikuu again GPA sasa yatosha elimu irudi kama kipindi kileee cha miaka yetu
  4. O

    Tafsiri ya Sizonje - Wimbo wa Mrisho Mpoto

    Mkuu tupia humu huo wimbo maana bado sijausikia maana ni msanii ninayemkubali sana hapa bongo. Asante..
  5. O

    Tarehe/siku nzuri kwa mimba kuweza kutungwa

    Hujaelewa nadhani yaani iko hivi hizo siku unaanzia kuhesabu moja kutoka siku ya kuanza mp? Hivyo basi wapo sawa kabisa
  6. O

    Tarehe/siku nzuri kwa mimba kuweza kutungwa

    Kutokana na badiliko la hali ya hewa na vyakula tunavyokula kwa sasa mi nadhani kuanzia siku ya 10-16 inaweza kuwa hatari kwa kupata mimba. Napita zangu mitaani miee
  7. O

    Msaada kuhusu course ya kusoma 2016

    Bro IT shidaa sana labda kama unajiajiri mkuuu
  8. O

    Zijue kozi ngazi ya degree zisizo maarufu nchini Tanzania

    Regional planning kweli people wanakufa njaaa
  9. O

    Vituko vya binti wa mama mwenye nyumba

    Mkude inaonyesha mama mwenye nyumba mkorofi ndo maana unaogopa kesi. Cha msingi mi nashauri kaa nae dogo mweleze najua atakuelewe na pia u can move and see another room tena sio mtaa huo.
  10. O

    Hebu tusaidiane kidogo: Ungekuwa wewe ungechagua ipi hapa? Na kwanini?

    Industrial engineering or petroleum engineering zimekaa vyema hata 21 poa ipo njema
  11. O

    Sifa za wilaya ya Kondoa na wakazi wa Kondoa

    Kondoa sio mkoa ila ni wilaya
  12. O

    Nani Mkali kati ya Diamond na Chris Brown?

    Mondi ana lipi la kumshinda Crcy brown? Duh kweli mahaba niue
  13. O

    Story ipi ilikuvutia zaidi hapa JamiiForums?

    Kuongea lugha ya malkia sekondari na chuoni kwenye speech au presentation ndio story iliyonitoa machozi kwa kucheka
  14. O

    Mambo muhimu unayopaswa kuwa nayo mtoto wa kiume hata kama huna pesa

    Natamani kujua matokeo ya arsenal vs Liverpool wadau.
Back
Top Bottom