Zijue kozi ngazi ya degree zisizo maarufu nchini Tanzania

leiya

JF-Expert Member
Apr 2, 2015
657
1,559
Kutokana na uhitaji wa wataalamu katika nyanja mbalimbali za elimu, vyuo vingi nchini Tanzania vimeanzisha kozi kadhaa ili kukidhi uhitaji wa soko. Baadhi ya kozi zimekuwa zikipwaya sana vyuoni kutokana na kutojulikana kwa wengi hasa wahitimu. Baadhi ya kozi hizo ni :
  1. Bachelor degree in legal and industrial metrology - CBE DSM
  2. Bachelor degree in official statistics - E. A stat training centre DSM
  3. Bsc.prosthetics and Orthotics - KCMC
  4. Bachelor of law and sharia - MUM
  5. Bsc.Health Information systems - UDOM
  6. Bsc.meteorology - UDSM
  7. Bsc.multimedia technology and animation -UDOM
 
kuna kozi hasa hiyo no. 1 iko poua sana tatizo imekaa chuo cha biashara lakini ili upate admission lazima uwe umesoma masomo ya sayansi hasa pcm. Ndo mana haijulikani sana ila iko njema sana
 
kutokua maarufu sio tatizo ,vip upande wa ajira(kujiajiri au kuajiriwa)
 
Bachelor of business administration with education BBAED- SMMUCo
hii mbona kama inafanana na BEDCOM_UDSM ambapo ni masomo ya biashara na ualimu. wengi waliosoma kozi hizi enzi zile waliachana na ualimu na kujiunga na taasisi za fedha kama banks Nk
 
Hata degree ya BSc Chemical Engineering ni kizunguzungu. Nawafahamu baadhi ya vijana waliochukua kozi hii wameishia kuwa walimu wa kemia shule za sekondari au vyuo vya ualimu. Majanga!
 
Back
Top Bottom