Tapper ni msanii yeyote anae rap na kurap unaweza rap katika mdundo wowote na pasipo kufuata misingi ya Hip hop. ...ila Hip hop ina nguzo ambazo husimamiwa na ndio humuongoza msanii wa Hip hop mfano tumuchukulie huyo Darasa fuatilia ngoma zake za nyuma kama sikati tamaa alomshirikisha Ben Paul...
Tofautisha kati ya rap na Hip-Hop Darasa ni rapper hafanyi hiphop saizi japo anajivisha hicho kivuli cha hip hop kama alivyo kua akifanya kipindi cha nyuma
Najamaa yangu alipata ya Russia anasoma Actect na alitokea DIT Computer Engineering Diploma............We unanithibitishua vipi kua wanachukua form six pekee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.