Hata sizonje ana d mbili lakini anaongoza watu na kuteua vilazaNyie acheni utani cheti hiki una D moja au kingine D moja uende chuo?????? Labda madrasa
labda SANDE SKUUL!Nyie acheni utani cheti hiki una D moja au kingine D moja uende chuo?????? Labda madrasa
Vyeti viwili tofauti vp fafanua ali rudia kufanya mtihani yaan (reseters) au vyeti viwili vipi???Ninachomaanisha ni kwamba ana principal passes 2 lkn vyeti viwili tofauti ana language B na Kiswahili ana D lkn ni vyeti viwili tofauti
Hapo inakuwa ngumuJamani naomba kuuliza mwanafunzi mwenye principal passes mbili kwenye vyeti viwil tofauti anaweza kwenda chuo , I mean ana D mbili vyeti viwili tofauti means cheti kimoja ana D moja na kingine D moja?