gemmanuel265
JF-Expert Member
- Feb 16, 2016
- 8,485
- 18,045
Kumbe na wewe wakati mwingine hufikiri kwa kutumia kinyume na maumbile!!Hana Presidential Personality ila ana Prison Personality hivyo labda kungetokea Uchaguzi Mkuu upande wa kuchagua Rais wa Wafungwa wote nchini Tanzania nadhani angepata kura za ' kutukuka ' kabisa.