Enzi zake Daudi Bashite akiwa msanii wa Hiphop

Enzi zake Daudi Bashite akiwa msanii wa Hiphop

Hapa bwana Bashite straight outta Koromije akiwa anachana ma verse hatari
Eeh Mungu wa Israel,hii nchi bana kuna ma genius mtaani wamedata na msongo wa mawazo huku kuna vilaza wanaojua kujipendekeza na kufokea watu ndipo wanaonekana wachapa kazi
Freeman mbowe wanaandika Filemoni,slipway wanaandika sleepway basi tafrani tupu,
haya sasa nawaletea yule kiumbe aliyekuwa anaandikiwa documents kwa English na miss wema sepetuuuuuuuuuuuuuu
View attachment 476254
Enzi hizo alikua anajiita bigg popu
 
tehe tehe tehe
Bashite oyeeeeeeeee
Kumbe ndio maana aliamua kuanza na wasanii
 
Daah Hatari, taratibu biography ya Daudi Bashite inaandikwa upya
 
Issue ni nzito pale wenye vyeti halali wamekaa nje wanakulinda!
 
Yo Yo Yo nashika kipaza nakamata na mchizi wangu yo anaitwa DAUD BASHITE.
 
Bashite :Say oooooohh
Fans: ooooh
Bashite: say bashiteee
Fans: bashite.
Anaaanza kuchana.

Verse ya kwanza naanza, stone kama banza, niite Bashite pesa muhim kwanza,

Shule ya nin hapa mishen town, mpunga umesoma cheti kipo nyumbani, nimewarubuni madingi hadi raia hadi wizarani...

(Fans waaaanza kurusha makopo ) kapanda MANGE KIMAMBI..

Mange: pass microphone msom nimepandan dimbani, kiongozi gani , zero imejaaa kichwani , huo unanga wapelekee kwenu nyumbani, tumeamka usilete pigo za kizamani, xxxxxssssszz bashite Zero kichwaaniii [emoji86] [emoji86]

Fans; mangeeee mangeeee[emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
Back
Top Bottom