Wapendwa habarini, naomba mnitoe ujinga juu ya hili. Kuna story niliiskia skia kwenye kijiwe kimoja nimeona niwaulize nanyi kama mnafaham. Nimeskia kua kuna kondom zimepandikizwa magonjwa kama HIV. Hili ni kweli wakuu?
Watalam wa mahusiano naombeni ushauri kwenye hili. Kuna msichana nampenda sana na natamani kua na mahusiano nae, lakini ye ni kama hataki uku anataka. Nimeshamweka wazi mda mrefu tu lakini hajakubali, zaidi ya mwaka sasa. Nikiamua kukaa mbali nae, anasema kanimiss na analalamika kua nimemkalia...
Kwa mnao faham naombeni mnisaidie kuusu hili. Kwanini vifurushi vya Vodacom vina bei sana tofauti na mitandao mingine kama Tigo, Airtel...... Ni kwamba vodacom wameridhika sana na wateja wengi walio nao au imekaaje hii. Watalam wa mambo nawaomba mnisaidie
Naomba wenye ufaham juu ya hili mnisaidie. Mimi nilikosea kuweka mwaka wa kuzaliwa kwenye fom yangu ya maombi ya kitambulisho cha taifa. Baada ya kitambulisho kutoka ndo nikaona kua nilikoseaga kuzaja fom. Sasa nataka kubadili mana sijihisi vizuri kutumia mwaka wa kuzaliwa ambao sio wangu. Je...
Jamani naomba msaada kuhusu hili, kuna rafiki yangu ana miaka 17 tu ila tayari ameshaanza kupata dalili za upaa kitu ambacho kimekua kikimletea msongo wa mawazo. Naomba kujua kama upaa una tiba au ukikupata tu ndo milele, na kama una tiba ni ipi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.