MAHUSIANO YA MBALI

MAHUSIANO YA MBALI

Io haiingii akilini. Mapenzi ni kuonana, ukionana na mtu mkaongea kuusu penzi lenu, hayo ndo yanakua mapenzi, sio hivyo unavyosema. Hizo ni Drama
 
Wanazengwe wazima humu, nina swali lina nitatiza yan nakuwa najiuliza mwenyewe na kujijibu hapohapo bila kupata jibu sahihi.
haya naombeni mawazo yenu hapa, unaweza ukawa na mahusiano na mwanaume au mwanamke anayeishi nje ya nchi na hamjawahi hata kuonana zaidi ya kupigiana video call na kuchat tu?
Ingawaje huyo mwanaume au mwanamke ni mtanzania ila anaishi nje na anafanya kazi zake nje kwa wa miaka 10 hivi; na hana mwanamke huko?
utakuwa na uhakika gani kama ni wako au lah? na hamjawah kugombana mnaelewana na kupendana kweli???
Umekaa kama kaahaba
 
Yes it is possible but both participants need to be very disciplined, with technology it is so easy to communicate for so many hours during the day/week depending on their availability.

Kwani hakuwezi kuwa na mapenzi kwa watu ambao hawajawahi onana?? I mean they have been dating for the whole year or so
 
Wewe upo Kinondoni, yeye yupo Malampaka, hapo ni shida.
Lakini wewe upo Kinondoni, yeye yupo Queens, NY, hakuna shida hapo.
 
Yes it is possible but both participants need to be very disciplined, with technology it is so easy to communicate for so many hours during the day/week depending on their availability.
True broo
 
  • Thanks
Reactions: BAK
"Pale Ng'ombe wako kapotelea mikumi na huna hofu ukijua atarud kisa tua unisikiaga sauti yake kwa mbal" said by Rodrigo Rodrigues Agustinos Hermano
 
Wanazengwe wazima humu, nina swali lina nitatiza yan nakuwa najiuliza mwenyewe na kujijibu hapohapo bila kupata jibu sahihi.
haya naombeni mawazo yenu hapa, unaweza ukawa na mahusiano na mwanaume au mwanamke anayeishi nje ya nchi na hamjawahi hata kuonana zaidi ya kupigiana video call na kuchat tu?
Ingawaje huyo mwanaume au mwanamke ni mtanzania ila anaishi nje na anafanya kazi zake nje kwa wa miaka 10 hivi; na hana mwanamke huko?
utakuwa na uhakika gani kama ni wako au lah? na hamjawah kugombana mnaelewana na kupendana kweli???
Mahusiano yawe ya mbali au ya nyumba moja kulala na kuamka pamoja kinachohitajika ni mawasiliano hai muda wote na uaminifu, hapo lazima mudumu maisha yenu yote.

Siyo kila ushauri humu uuchukue utakuharibia Mahusiano yako.
Wewe muhusishe Yesu kwenye jambo lako hutajuta milele.
NB:
Kuna wanaume wametulia na waaminifu, pia kuna wanawake waaminifu na wametulia, kwahiyo hata huyo unayewasiliana naye anaweza akawa mtu sahihi kwako, umbali siyo tatizo bali wahusika wenyewe ndiyo wakuwaga tatizo. Simamia kile unachoamini mpaka kuongea kwenye video.
 
Back
Top Bottom