nokia 6Hiyo inayouzwa 850,000/= ni Nokia ngapi mkuu??
nokia 3 bongo bado??nokia 6
Mm nimeikubala xna J7 max sijui itafika shs ngap ikija bongosamsung_galaxy_j7_pro_and_j7_max_unveiled_in_india_focus_on_social_camera_and_samsung_pay
badonokia 3 bongo bado??
Chief, kati ya uhawei P9 lite na J72016 ipi nzuri kwa matumizi mazito. Kwa heavy user.mkuu ni nadra sana kukuta soc nzuri ya mediatek, ila p20 ni nzuri, imetengenezwa na manufacturing technology ya 14nm hivyo haina tofauti sana na sd625. sema still kioo ni lcd hawajatumia super amoled. simu ya samsung isiyo na amoled huwa naiona ya kawaida sana.
hii j7 pro inayo super amoled lakini inatumia soc ya zamani 7870 ambayo imeshatumika kwenye simu za mwaka jana, pia naona gpu yake ya kawaida sana.
mi nasubiria j7 ya 2017 kwanza kama tetesi zipo sahihi itakuwa na sd625, 3Gb ram na full HD super amoled, hivyo itakuwa nzuri kushinda hizo hapo juu.
A7 2017 now inapatikana kwa ngapi dukani?.
hazina utofauti sana na zote haziwezi matumizi makubwa, ila p9 lite ina nguvu kidogo,Chief, kati ya uhawei P9 lite na J72016 ipi nzuri kwa matumizi mazito. Kwa heavy user.
Chief,vp kuhusu galaxy C7 pro yenye snapdragon 626 Bongo ishafika,nimeitafuta xna bila mafanikio sasa sijui nayo ni overprice.yap hio pia nimeona, angalau hata waweke 7880 kama A7 2017, maana battery life ya hii A7 ni balaa,
sijaiona pro ila c7 za kawaida zenye sd625 zipo mitaani around 800,000,Chief,vp kuhusu galaxy C7 pro yenye snapdragon 626 Bongo ishafika,nimeitafuta xna bila mafanikio sasa sijui nayo ni overprice.
A series, C series, J series na note ni nini, na zipi ni nzuri zaidi kwa hizi samsung. na ukisema flagship una maana ganisijaiona pro ila c7 za kawaida zenye sd625 zipo mitaani around 800,000,
ndio zipo overpriced A series na C series zote za samsung, ila zinatumia pia premium material, look na feel yake ni kama flagship.
tofauti ya
A series, C series, J series na note ni nini, na zipi ni nzuri zaidi kwa hizi samsung. na ukisema flagship una maana gani
Nokia mpya ya 3310 imetoka mda si mrefu ila tayari ni best selling feature phone soko la magharibi,Nokia is no longer connecting people.
Hahahahahahaaahhhh!!!!!
Haya bwana nashukuru kwa ufafanuzi huu kwa sababu hua nikigusa tu Nokia lazima unambie alivyofanya kwenye Networks.Nokia mpya ya 3310 imetoka mda si mrefu ila tayari ni best selling feature phone soko la magharibi,
pia hawajatangaza figure ya mauzo ya smartphone ila wamesema wameuza millions, ambayo unaweza ukairafsiri kama 2m+, ukiangalia factor kwamba ni simu chache tu zipo sokoni tena kwa uhaba mkubwa that is impressive.
Tatizo kwao sio soko bali ni uwezo tu wa kuzalisha sababu HMD ni kampuni ndogo bado.
Na still Nokia anaconect watu sababu yeye ni second badala ya Ericson kwenye infrastructure za Network na Tanzania mitandao kibao ikiweno yenye speed Zaidi yaani Voda na TTCL wanatumia technology ya Nokia.
Hata duniani kila mtandao wenye speed ikiwemo ile mitatu ya korea inayosumbua duniani wanatumia Technology Ya Nokia,
Hata your Beloved Apple ananunua Infrastructure za Network Nokia, Kaacha technology za Kwao Usa anataka Za Finland.
http://iphone.appleinsider.com/arti...s-datacenters-after-patent-dispute-settlement
So still Nokia ana connect mabilioni ya watu duniani,
Na soon Ikitoka 5G atakuwa anaconnect maroboti.