Unakunywa ngapi kwa siku mimi pia ni mraibu naweza piga hata 3 kwa siku ila ninachoshukuru siku nikisema nipumzike mwili unakubali na wala sihisi hayo uliyoyaorodhesha
Habari wanaJf, nataka kufungua akaunti nilishawahi kuwa na akaunti Stanbic na NBC hizi zilikua ni kwa ajili ya kupokelea mishahara na niliachaga kutumia baada ya kuacha kazi.
Sasa nataka kufungua akaunti Je, ni Benki gani ambayo ina vigezo km ifuatavyo
[emoji818]Makato madogo,
[emoji818]...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.