Recent content by nyabina

  1. N

    What is going on kwa huyu mdada?

    Anatafakari ukute mambo ya kimaisha.
  2. N

    Nina mimba ya Miezi 9 natakiwa kusafiri kwenda ukweni

    Dada,usikubali,maisha yako na mtoto ni mhm sana,watu wengi sana wamekuzwakatika mazingira ya kutooneshwa upendo na kutojaliwa,sasa wanaona hiyo ndiyo njia ya maisha na imeshakuwa ni mazoea ndani yao,hawasikii kitu.Kataa,kmuna ajira yako,muite mtu wako au ndg yako aje akuhudumie,usikubali kitu...
  3. N

    mimba siku izi zinatafutwa mbali mnooo !!!!

    wanaume walio wengi wana low sperm count,
  4. N

    Unawezaje kutesa familia na kufata makahaba wake za watu na umri huu 33

    Anahitaji Kristo,ndiye suluhisho kwa yeye baba,mama na watoto.
  5. N

    Kondomu za kike zageuka urembo Kahama, Shinyanga!

    Watu wengi walio kwetu,elimu ya vitu vya msingi na uraia,bado iko chini sana,tunahitaji kuwasaidia watu wetu,hiyo inaonesha kuwa watu wetu walio wengi ufahamu na uelewa si mkubwa,tuwasaidie!
  6. N

    Majini Mombasa

    Kuna jini kweli la mwenyezi Mungu,changa la macho,Shetani aliyetupwa kwa dhambi ya kijiinua,na ndiye mpaji wa shida zote za mwanadamu wa jana na leo,leo hii awe ni msaada kwa walio na shida,wapi na wapi!
  7. N

    Wana CCM 1,000, Wenyeviti wa Vitongoji Arumeru Wahamia Chadema

    maumivu ya kichwa huwa yanapelekea macho kuwa mekundu.
  8. N

    True story; kifo cha gen. Tewete

    Kweli uzinzi huleta upofu,na ni mbaya kwa ujumla,zinaa tunaambiwa tuikimbike.Ugonjwa wa mke wake umepelekea huyo baba kufa kipuuzi km mateka wa vita ya uzinzi,simhukumu,ila iwe fundisho kwetu.Hapo sasa wana ndugu wataanza kuigombea mafao ya marehemu.
  9. N

    Africa's First Ladies...nani Zaidi?

    Kaka,rais wa gambia,alimpa talaka mke mkubwa sababu ya kutozaa,alimfanyia visa vingi kabla ya talaka,mwaka 1999 alimwoa Zeinab Suma Jammeh, kutoka morroco,ila kwa sasa anaishi marekani,kwa sababu wametengana,sababu rais wa gambia kuoa mke wa pili aitwaye Ms. Alima Sallah,mwenye umri wa miaka...
  10. N

    Lowassa: Mungu yu pamoja nami! Atumia biblia kubeza wanaomchafua kisiasa

    Nyie siyo Mungu kukaa na kumhukumu mtu.Hata akiwa mwizi,wewe ambaye unamnyooshea kidole mwenzako,angalia ni vidole vingapi vimekugeukia wewe,embu tujifunze kuwa si wepesi wa kumnyooshea/kuwanyooshea mtu/watu vidole.Tumpende Lowassa na kumwombea,ni kiongozi tayari na hilo halina ubishi,kumbukeni...
  11. N

    Bikira miaka 30

    Bikira siyo kizinda,bikira ni kile kitendo cha kutowahi kufanya mapenzi au kwa maana nyingine ni kile kitendo cha kutowahi kujamiiana.Kizinda kiwepo ama kisiwepo,bado mtu huyo husika,ama awe mwanamke au mwanaume,bado wote ni bikira.
  12. N

    Kagame baba wa East afrika

    Baba yetu ni MUNGU na si binadamu.Tunaweza muita mtu baba wa kiroho kwa kuwa kupitia yeye tumepata mwanga wa maisha ya kiroho ambayo hayana kikomo baada ya ukomo wa maisha yetu hapa duniani.
  13. N

    Looking Good From Behind

    j2 ni siku ya Mungu,wengi wetu tuliamka tukiwaza tuyaonayo.Wengi wetu vijana wa leo,nyumba ya ibada imekuwa ni neno la kiyunani,la mwisho mzuri huanza na mwanzo mzuri.Tunayo nafasi,tubadilike,tubadilikeje,uajana ni mprvu ni wakati wa kufanya maamuzi magumu,ujana mbichi ni wakati wa kuyaendelea...
  14. N

    South Sudan yapiga marufuku Wasomali

    hata kama watanzania ni omba omba,kwa sudan kusin kuna cha kuomba kweli jamani muda huu?,hao si watanzania ,watakuwa i watu wenye hati ya kusafiria kutoka tanzania,lkn kwa asili si watanzania.
Back
Top Bottom