True story; kifo cha gen. Tewete

Wataonana lakini hawata conjugate
Conjugal rights ni haki za wafungwa wote wenye ndoa halali!. Kwa kawaida jela wakishajua hao ni mume na mke, kuna utaratibu wa kuwatenganishe watumie vifungo vyao magereza tofauti. Kwa vile conjugal right huwa practised gerezani, kwa mwanandoa aliye huru kumpelekea mwenzake aliyekifungoni kule alipo. Hivyo itakuwa ngumu kwao kupeana hudu hizo kwa vile hakuna yeyote kati yao aliye huru kumpelekea mwenzi wake huduma hiyo!.
 
wacha waendelee kufanya mazoezi ya kuvunja tofali kwa vichwa,sie tumeshahamia kwenye visu.
 
Kweli uzinzi huleta upofu,na ni mbaya kwa ujumla,zinaa tunaambiwa tuikimbike.Ugonjwa wa mke wake umepelekea huyo baba kufa kipuuzi km mateka wa vita ya uzinzi,simhukumu,ila iwe fundisho kwetu.Hapo sasa wana ndugu wataanza kuigombea mafao ya marehemu.
 
Mnachanganya vyeo ni Meja aliechomwa kisu sio Gen!(Kuna tofauti ya vyeo 3 hapo)...ila habari ya kusikitisha sana sana...poleni sana wafiwa!!
 
Edson,unafaa kuanzisha chekechea ya great thinkers. Asante.
Aaa wapi, hayo maelezo ya Edson hayaendani kabisa na stori aliyoandika Fidel80. Kwa kifupi Edson ametoa stori ambayo tayari inafahamika lakini ukweli utabaki palepale kuwa kitu alichoandika Fidel hakieleweki na sielewi ni kwa nini hadi muda huu hajafanya mabadiliko yeyote.
 
Fidel80 ni kweli umepost thread ambayo haiko straight kueleweka kwa urahisi, ndio maana tufike mahali tukubali, kazi ya kutoa habari nayo ni kazi ya watu!

Issue yenyewe ni simple tuu na iko hivi.

Mwanamke mmoja aitwa Aisha ambae ameolewa na kubahatika kupata watoto wawili na mumewe. Miaka mitatu iliyopita, mumewe na Aisha alimfumania mkewe (Aisha), hivyo kumchoma kisu mgoni wake, kitendo kilichompeleka jela mpaka sasa bado yuko jela akitumikia kifungo cha miaka mitatu.

Wakati mume wa Aisha akiwa jela, ndipo Aisha akapata mwanamume mwingine msamaria, aliyekubali kuwa mpenzi wake, na kukubali kuwasomesha wale watoto wawili wa Aisha, ambao baba yao yuko jela!. Mpenzi huyo wa sasa wa Aisha ndio huyu Mjeshi, Gen. Tawete!.

Aisha nae, alimfumania Gen. Tawete na mwanamke mwingine, hivyo akamchoma kisu kilichomuua Gen. Tawete, hali iliyopelekea Aisha kupelekwa gerezani, ambako hatimaye atahukumiwa kifungo na huko kifungoni atakutana na mumewe ambaye ndie baba watoto wake!.

Mtoa mada akasisitiza sasa watakao teseka ni watoto, kwani baba yao alipokwenda jela, msamaria Gen. Tawete, ndiye aliyemtunza mama yao, kuwatunza wao na kuwalipia ada, lakini sasa mama yao, amemuua huyu msamaria hivyo sasa hawana msaada wowote, kwasababu baba yuko jela, mama yuko jela msamaria ndio huyo kauwawa, hivyop kwao ni mateso mara 3!.

My Take.
Hii ni story ya kusikitisha na kuhuzunisha, kwanza kwa Generali wa jeshi kuuliwa kwa kisu kama kujinja kuku na sio tuu kuuliwa kwa kisu tuu bali muuaji mwenyewe ni mwanamke!, hiki ni kifo cha aibu, achilia mbali aibu ya General kufia kwa kimada, wakati yeye ni mtu wa heshima zake na hadhi ya juu kabisa katika jamii!.

Pili huyo Mwanamke Aisha, japo kwanza atafunguliwa shitaka la mauaji, akipata wakili mahiri, shitaka hilo litageuzwa kutoka murder (kukua kwa kukusudia) mpaka manslaughter (kuua bila kukusudia) na wakili huyo akiitumia vizuri defence ya 'provocation' na akawatumia madaktari bingwa wa afya ya akili, kuthibitisha hiyo 'provocation' ilifikia kiwango cha kusababisha 'insanity', na kuprove beyond reasonable doubt kuwa wakati anamchoma kisu, she was insane!, huyo mama ataachiliwa kwa compassion ya kuwenda kuwalea watoto wake wanaomtegemea maana na baba yao yuko jela!
mkuu, huyo mama ana kesi tamu sana, ukizingatia kwamba yeye mumewe yupo jela, yeye ni mpenzi wa Gen, na Gen akaamua kutembea na mfanyakazi mwenzake Aisha.......yani ni kwamba, Gen.. alikuwa anatungua sehemu ambayo Aisha angejua tu!!

tatizo ni kwamba, hatapata wakili, ana atakula mvua kama kawaida.
 
Back
Top Bottom